cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
Ulifanyaje?
Me napenda
Au ukae uingize miguu kwenye maji uchezee tu naskia raha





nilikua nazamia chini, sasa nikaanza kunywa maji, si nianzeee kuhaha, ndo akaja kuniokoaaa, toka hapo naogopaaa, yaan nliona aibuuu, kusemwa na kufokewa uwiiiiiih

