Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi niliingizwa Mjini tu baada ya yeye kusema eti ana kontena la Mawigi kutoka China limekwama bandarini kwahiyo nimpush Kwa kumpa pension yangu, kwahiyo nitakuwa naoga na kulala kwake huku akinitafutia Hela yangu..........


Kuna watu wanadhambi Mjukuu 🤪
You can’t be serious we babu 🙄

Kwahiyo ukawa tempted na kulala kwake? Ukapata wazo la freee p🫣 uifanye kama ten parcent?
 
😂 Jamani sweetie si maeneo yako ya kujidai, najua kuna village supermarket ila bakery sikuona au sikuangalia vzuri .
Nataka nikajispoil na tuvitu vya kula kula😋
🤠🤠🤠 Sweetheart hata sipajui huko, leo uje unipeleke tukaone kama kuna bakery au lah.. Nakusubiri kona hapa
 
Back
Top Bottom