Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Unajua ile feeling unapata baada ya "a dream come true"?Kunani leo 🤣🤣🤣
Aaah wacha kwanza nikatafute chai njaa inauma 😂😂
Unajua ile feeling unapata baada ya "a dream come true"?Kunani leo 🤣🤣🤣
Muache shemeji yangu kashapata bwana mpya Sema ni mfupiUmepata shemu
Ukiachwa achika
Umefukuzwa ondoka
Hakuna kukaa unafatilizia watu makalioni as if waliondoka na figo zako
🤣🤣
Toka kani mwaga hata salamu zangu hataki 😞😞😞Muache shemeji yangu kashapata bwana mpya Sema ni mfupi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ukiachwa achika
Umefukuzwa ondoka
Hakuna kukaa unafatilizia watu makalioni as if waliondoka na figo zako
🤣🤣
maisha yaniendeshe weh bado na mapenzi ah wapi .Kheeee
Na kile kishkwambi mlipita nacho,watakuwa wanasema acha wale jeuri yao hawa majambazi.Madoni
Mafogo
Tuna auto generators
Kwan Kuna mtu hajawahi kuumizwa acha kukata tamaa Sema uliyempata hakuwa sahihi kwakondo hivyo nimeacha kiherehere
sitaki kuumia mie .
Kwahyo hutakKila mmoja ashinde mechi zake dogo pambana kivyakoo!!
Achana naye Kuna pisi kali nitakupaToka kani mwaga hata salamu zangu hataki![]()
Uzi sasa umechangamka boss ledi umekuja.cocastic shosttt akee nasubiriav maubuyuuuuu kwa hamuu shost anguu fanya ukujeeee... tsup sikupati halotel sikupati voda sikupatiiiii werayuuuuuu!!😘😘!!
🙄🙄🙄 Ipi hiyoAchana naye Kuna pisi kali nitakupa
Eeeeh eeeh.. 😊 Haka kawimbo kamenipa mood ya kuja Arusha kukuona mama watoto wangu.. Mtoto anililii kweli hapoSweet Mangi
Tena na Sitaki makelele kabisaaaa!!Kwahyo hutak
Una hizo tabia nini? Kufatilia X anafanya nini currently? Kama unazo uache ni ushamba didi 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimechekaaa
Ila haya maneno yako yatatonesha kidonda cha Carrasco putin nae ameachwa leo asubuhi
😂😂😂😂😂😂 mtoto kamiss kwenda kunywa chai Gran Melia.. analia kwa kumiss madekezo yakoEeeeh eeeh.. 😊 Haka kawimbo kamenipa mood ya kuja Arusha kukuona mama watoto wangu.. Mtoto anililii kweli hapo
😔😔😔 Nime mmiss sana mwanangu, acha nije aisee.. Ndio faraja yangu hiyo😂😂😂😂😂😂 mtoto kamiss kwenda kunywa chai Gran Melia.. analia kwa kumiss madekezo yako
Karibu sana nyonyoma wetu 😍 tumekumiss😔😔😔 Nime mmiss sana mwanangu, acha nije aisee.. Ndio faraja yangu hiyo
Nawapenda sana familia yangu, 😍😍 🥰🥰🥰Karibu sana nyonyoma wetu 😍 tumekumiss