Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,271
- 108,268
Kipi chakutesa hapo mkuu?
Siku mojamoja uwe watembelea beaches za kishua kuosha osha macho...
Siku mojamoja uwe watembelea beaches za kishua kuosha osha macho...
Aiseee muhusika kakupa ruhusa kupiga picha
Daah halafu sijaona picha yako hata moja ujue,, nasubiri kwa hamu mno..
Wewe Eliza wewe hahaha
Kwa kweli wana turangi tuzuriKwa kweli mmejaaliwa rangi nzuri nzuri
Kaka
Umenimess wakati umenichunia mpaka basiNimekumis mom
Naam, weupe fulani hivi...kama fanta orenji
Nasubiri nitoke onlineMuda si mrefu itakuwa hapa usijali rafiki
Ukiwa na muonekano kama huu halafu wanaume hawataki kukuoa lazima uwe na hasira kaliiii
Niko huku nje ya mji Najenga Taifa kakaWapi jamani
Unakulaga hiyo Mkuu
Wewe sio mtumaji picha ngoja nisepe zangu.Kaa hapo hapo.....
Ila ukitoka utaikuta pia
Niko huku nje ya mji Najenga Taifa kaka
JamaaaniiiiKweli nilipita maeneo