Yaniii nina nature hio! Sasa afadhali humu najitahidi kidogo ukiniona live Anne huwezi amini hivi unamjua konokono kilaza wa kwanza kabisa kuongea!!?? Ndio mie sasa!
Kuna tasnifu ya uzamili ya mtu wa Isimu Jamii ameandika juu ya historia, chimbuko na maana ya majina ya Kisukuma niliiona nikawakumbuka akina Minza. Ngoja niitafute nikutumie π