Unaishije sasa mjini maana wadada karibia 90% wa mujini ni vikoba au ule unaitwa mchezo na Brak sijui black. Na mwingine naskia unaitwa nyonya damu ππ
Imagine mtu anadaiwa vikoba, mshahara haujatoka, anadaiwa kodi ya nyumba na nyumbani mzazi wake anaumwa! Alafu anakuja hapa mtandaoni akihisi labda atapata faraja kana kwamba wote tunafahamu changamoto anazopitia, then anakuta uhalisia wa mitandao hauko hivo. Kifuatacho ni frustrations na stress matokeo yake ataanza kumuona kila mtu kama ndio chanzo cha matatizo yake. Psychological facts.
INSECURITIES: HALI YA MTU KUTOJIAMINI NA KILA MUDA KUISHI KWA WASIWASI. Ni hali mbaya haswa huku mitandaoni utaishia kugombana na watu kila uchwao haswa ukizingatia kila mtu amekuja na tabia zake na huwezi zibadili ziendane na zako. Psychological facts.
Unaishije sasa mjini maana wadada karibia 90% wa mujini ni vikoba au ule unaitwa mchezo na Brak sijui black. Na mwingine naskia unaitwa nyonya damu ππ
Mikopa sijui ina nuski gani mwaka jana nusu nichizikeπππ
Nilikuwa nampiga vibomu baba chanja mpaka akanistukia maana si kwa kasi ile sitakiii tena π¬πππ
Mikopa sijui ina nuski gani mwaka jana nusu nichizikeπππ
Nilikuwa nampiga vibomu baba chaja mpaka akanistukia maana si kwa kasi ile sitakiii tena π¬πππ