Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
NitakupikiaBiscuits natumia mdogo wangu
Ninunulie basi mama junia

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
NitakupikiaBiscuits natumia mdogo wangu
Ninunulie basi mama junia

Hela ngumuKadiri siku zinavyosogea,hela ndio zinazidi kunipiga chenga aisee..
Ngoja nitafute kufa na kupona...
Mwakani mida kama hii nianze kutotoa watoto.
EPL POSTPONED JAMAN MASHABIKI WA LIVERPOOL NA CHELSEA WATANENEPA SIJAPENDA![]()













Ndo tumeletwa duniani kwa ajili ya kazi hiyoUnataka kuzaa
Bobby alitisha sana kwenye hii ngoma na jinsi alivyotoka kwenye ile chopa 😄 unyamwezi ulikuwa mwingi sana 2000s hiyo 🍻
Kwamba Anne hana hisia..Hana uchi??Yaani ukiwa na mimba, unatembea na kithibitisho ulikuwa kwenye match ligi kuu...
Na mtu akikuangalia ulivyo saint unabaki hadi huyu???😂😂
Mtume roho yanguKwamba Anne hana hisia..Hana uchi??
Alooo,,,I'm really waiting for that
Niwe namkula mume wangu...I cannot imagine![]()














Sawa Mama mchungajiNdo tumeletwa duniani kwa ajili ya kazi hiyo
Mwanzo 1:28
Amen Mamy.Hela ngumu
Mungu ni mwema atafungua njia
Aisee? Wigelekelo Anne kaanza tabia mbaya?Kwamba Anne hana hisia..Hana uchi??
Alooo,,,I'm really waiting for that😋
Niwe namkula mume wangu...I cannot imagine 🤣🤣🤣🤣🤣😂
🤠🤠🤠 Hii ngoma ilikuwa unyamaa sana.. Hadi leo ina vibe yake flani.. Murder Inc 🔥🔥. Watu tukaanza kuishi kama NY..Bobby alitisha sana kwenye hii ngoma na jinsi alivyotoka kwenye ile chopa 😄 unyamwezi ulikuwa mwingi sana 2000s hiyo 🍻
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Aisee? Wigelekelo Anne kaanza tabia mbaya?
Mtoto mzuri Saint Anne na kile kiuno kama nyigu hapo viuno ni kama propeller za boeing, namuonea wivu jamaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Foreveeer
And everrrrr
I'm jus singing
P'suare🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nelly nae alikuwa mnyama sana, vijana walianza kuweka plasta...🤠🤠🤠 Hii ngoma ilikuwa unyamaa sana.. Hadi leo ina vibe yake flani.. Murder Inc 🔥🔥. Watu tukaanza kuishi kama NY.. View attachment 2351757