Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,519
- 235,236
Nitakupikia[emoji16]Biscuits natumia mdogo wangu
Ninunulie basi mama junia
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Nitakupikia[emoji16]Biscuits natumia mdogo wangu
Ninunulie basi mama junia
Hela ngumuKadiri siku zinavyosogea,hela ndio zinazidi kunipiga chenga aisee..
Ngoja nitafute kufa na kupona...
Mwakani mida kama hii nianze kutotoa watoto.
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]EPL POSTPONED JAMAN MASHABIKI WA LIVERPOOL NA CHELSEA WATANENEPA SIJAPENDA [emoji856][emoji856][emoji34][emoji34][emoji34]
Ndo tumeletwa duniani kwa ajili ya kazi hiyoUnataka kuzaa
Bobby alitisha sana kwenye hii ngoma na jinsi alivyotoka kwenye ile chopa 😄 unyamwezi ulikuwa mwingi sana 2000s hiyo 🍻
Kwamba Anne hana hisia..Hana uchi??Yaani ukiwa na mimba, unatembea na kithibitisho ulikuwa kwenye match ligi kuu...
Na mtu akikuangalia ulivyo saint unabaki hadi huyu???😂😂
Mtume roho yangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Kwamba Anne hana hisia..Hana uchi??
Alooo,,,I'm really waiting for that[emoji39]
Niwe namkula mume wangu...I cannot imagine [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Sawa Mama mchungajiNdo tumeletwa duniani kwa ajili ya kazi hiyo
Mwanzo 1:28
Amen Mamy.Hela ngumu
Mungu ni mwema atafungua njia
Aisee? Wigelekelo Anne kaanza tabia mbaya?Kwamba Anne hana hisia..Hana uchi??
Alooo,,,I'm really waiting for that😋
Niwe namkula mume wangu...I cannot imagine 🤣🤣🤣🤣🤣😂
🤠🤠🤠 Hii ngoma ilikuwa unyamaa sana.. Hadi leo ina vibe yake flani.. Murder Inc 🔥🔥. Watu tukaanza kuishi kama NY..Bobby alitisha sana kwenye hii ngoma na jinsi alivyotoka kwenye ile chopa 😄 unyamwezi ulikuwa mwingi sana 2000s hiyo 🍻
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Aisee? Wigelekelo Anne kaanza tabia mbaya?
Mtoto mzuri Saint Anne na kile kiuno kama nyigu hapo viuno ni kama propeller za boeing, namuonea wivu jamaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Foreveeer
And everrrrr
I'm jus singing
P'suare🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nelly nae alikuwa mnyama sana, vijana walianza kuweka plasta...🤠🤠🤠 Hii ngoma ilikuwa unyamaa sana.. Hadi leo ina vibe yake flani.. Murder Inc 🔥🔥. Watu tukaanza kuishi kama NY.. View attachment 2351757