Kama umenielewa siendi kuandika uzi, sasa suala la ndoto... ngoja nikuhadithie tu, niliota nimekuambia nakupenda halafu ukanitukana sanaaa!! kuna mtu nikamuomba ushauri akasema hio ni kinyume, basi nikavaa mabomu kama al-qaeda, nikaja kujilipua tu litakolokuwa na liwe...
Nakutania Cocaπππππππππ€£πππ€£π€£ππ
Mimi mwenyewe huwa sili sosejiπ€£π€£π€£π€£π€£
Japo hata haihusiani na kutokaa mjini
Na siku hizi Coca hata hunaga muda nao yaani.
Nimeona wengine wamekumention kwenye uzi wa watu wanaowachukiaπππ
Nikacheka kuwa hawa jamani,mbona wanatafuta ugomvi Kwa nguvu na mtu asiyetaka ugomvi.
Matani mengi siku hizi.
Kumenichangamsha kiasi chake..Sasa naweza kurudi mkoani.
Juzi niliona kigodoro Cha pili. Aisee zile ngoma zilivyokuwa zinapigwa nilitamani nijoin kukata mauno.