Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,226
Mimi rataaa? πππ wejasu?Ai rataaaaaaa..π‘
Mimi rataaa? πππ wejasu?Ai rataaaaaaa..π‘
π π π Honeymoon wanaenda wamechokaa hatari, washamaliza ufundi wote hakuna jipya, washagombana sana na kusuluhishwa hadi mahakamani na vikao vya familia.. Wanaenda honeymoon wamenunianaaa, ndani kila mtu na simu yake.. Ila hii haitokuwa kama honeymoon yetu bebii... Maana itakuwa ni π₯π₯π₯π₯ hadi shetani atajinyonga kwa wivuππππππ wanaenda honeymoon wamefanyaje? π€£π€£π€£π€£
Mweee nyonyomaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£πNyonyoma π
Semaji π β€οΈ
ππππ
Sio weweee Mjomba wangu unaependa show offf nasemaaa!! ππ€ π€ π€ π€ Haaa huniamini tu Shangazi, tuna miaka hii mibee βοΈβοΈ no sex no kissing.. But love and caring pamoja na kuheshimiana na ndio inavyotakiwa huku tukisubiri pingu za maisha.. Honeymoon itanooga.. Kila mtu anakuwa na hamu na mwenzake. Sio wengine wanaenda honeymoon wamechoka wama ugomvi π€£π€£π
Aiseeee.....ππLong time kitamboView attachment 2348725
Byurifuu LenieπLong time kitamboView attachment 2348725
π€ π€ π€ π€ Haya shangazi acha sie tuendelee kusubiri kitu chetu cha ndoa.. Lazima upate mualiko ujw ujioneeSio weweee Mjomba wangu unaependa show offf nasemaaa!! π
Mie natii agizo la Bossi kubwa Mr Vocha !!
Selfii ziendelee βοΈβοΈβοΈ
πππ ina maneno ya uchokozi sanaInasemajeππ
Raha ya taarabu uiskilize huku unatingishika kidogo
Wabheja sana mr Vocha!! Haya Nawewe tupia basi vile vipisi vya miwani mr Vocha kitambo sana jakuona humu!Ahsante boss ladyππ
Kama kawaida yako umetisha sana
Mbona unashangaa?π±π±π±π±π±π±π±
Unitumie vocha sasa za kunipongeza kwa kupendezaAiseeee.....ππ
Mambo si haya
Ahsante didi yake nanii
Umependeza balaa
Mie treinnnaaaaaaahhhh! Shangazi mtu Nitawaka bi harusi akasome ππ€!π€ π€ π€ π€ Haya shangazi acha sie tuendelee kusubiri kitu chetu cha ndoa.. Lazima upate mualiko ujw ujionee
Hayo majina hayo πππ kuna hatari hapo mbeleniMbona unashangaa?
Vijembe kwa sana sioπ ππππ ina maneno ya uchokozi sana
Nipo tu ccy nmekumic pia mno mnoForever and always sweetsisπππ!
Miss you sana dear umetususa sana
Na ni vingiiiiVijembe kwa sana sioπ π
Ewaaa muhimu muhimuu... ππππ Lazima tufurahi nahisi mwana jf mmoja wapo atae pata mualiko ni wewe maana hamtozidi watatu au unasemaje Depal mama π€ π€Mie treinnnaaaaaaahhhh! Shangazi mtu Nitawaka bi harusi akasome ππ€!
Nitayarudi hio siku uwiiiiii!!
Kasinge munoo waitu!
Sijambo kabisa jiraniHujambo jirani yetu..