Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂😂😂😂 wanaenda honeymoon wamefanyaje? 🤣🤣🤣🤣
😅😅😅 Honeymoon wanaenda wamechokaa hatari, washamaliza ufundi wote hakuna jipya, washagombana sana na kusuluhishwa hadi mahakamani na vikao vya familia.. Wanaenda honeymoon wamenunianaaa, ndani kila mtu na simu yake.. Ila hii haitokuwa kama honeymoon yetu bebii... Maana itakuwa ni 🔥🔥🔥🔥 hadi shetani atajinyonga kwa wivu
 
🤠🤠🤠🤠 Haaa huniamini tu Shangazi, tuna miaka hii mibee ✌️✌️ no sex no kissing.. But love and caring pamoja na kuheshimiana na ndio inavyotakiwa huku tukisubiri pingu za maisha.. Honeymoon itanooga.. Kila mtu anakuwa na hamu na mwenzake. Sio wengine wanaenda honeymoon wamechoka wama ugomvi 🤣🤣😭
Sio weweee Mjomba wangu unaependa show offf nasemaaa!! 😉

Mie natii agizo la Bossi kubwa Mr Vocha !!
Selfii ziendelee ✌️✌️✌️
 
Back
Top Bottom