Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
🤣🤣🤣Maisha ni magumu bwana 🤣🤣
Imagine una hela sijui ka salary lkn unaishiwa 😂😂😂😂😂
Mwanamke pambo la nyumba wapwani wanasema…
Shida wanaume wenyewe watakubali uwe pambo? Tozo zote watakuwa tayari kuzibeba peke yao?
Itakua full visirani humo ndani, tozo zinavuruga akili si mchezo