Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Baba Chanja mbona hujaliweka?Saint Anne Lenie njoeni mchague πππ
Langu Baba D π
Sema silioni ππππππ
View attachment 2348660
Me nimesave hivyo ππ
Baba Chanja mbona hujaliweka?Saint Anne Lenie njoeni mchague πππ
Langu Baba D π
Sema silioni ππππππ
View attachment 2348660
Baba Chanja umenikumbusha mbaliπ€£π€£π€£π€£Baba Chanja mbona hujaliweka?
Me nimesave hivyo ππ
π€ π€ π€ Show off tunawaachie watoto, tumeishakuwa watu wazima, sjeWaambie ππ au Extrovert aje awaambie βwhoβs Romeo and Juliet wa jf
Sema tu hatupendi show offs π€£
π±π±π±π±π±π±π±Mimi la kwangu ni namba tatu na kumi na nne ila with time nitatumia na funguoπ€£π€£π€£
Tukigombana naweka jina la semaji.
Tuedit basi.. me namba yake nyingine nimesave nyonyoma πBaba Chanja mbona hujaliweka?
Me nimesave hivyo ππ
Hilo ndio lenyewe sasaπ€£π€£Baba Chanja umenikumbusha mbaliπ€£π€£π€£π€£
Yule dogo chuo alikuwa anamwita mwenzie hivyo.
Nyonyoma πMimi la kwangu ni namba tatu na kumi na nne ila with time nitatumia na funguoπ€£π€£π€£
Tukigombana naweka jina la semaji.
Kabisaaa yanπ€ π€ π€ Show off tunawaachie watoto, tumeishakuwa watu wazima, sje
π€£π€£π€£Tuedit basi.. me namba yake nyingine nimesave nyonyoma π
ππππ
πππππ Kila kitu kipo sawa Shangazi.. Simple kabisa hiyoItakua kuna kitu hakipo sawaaa sehemu weeeee!
ππππ hΓ© donβt deserve kiua wala kifunguo au unasemaje?π€£π€£π€£
Usisahau kuweka /BM
Ndiwoo beibeee π ππππππ Kila kitu kipo sawa Shangazi.. Simple kabisa hiyo
π πKila lenye kheri mjomba wangu!! Na utakua na hela labda otherwise weeeehh! Sio kwa hiki kizazi
Hahaha!!!π π
Kiua for who which why?ππππ hΓ© donβt deserve kiua wala kifunguo au unasemaje?
That why β€οΈπβ€οΈNdiwoo beibeee π π
Acha tukaushe, tubaki kama maadui ili shetani achanganyikiwe eeh π€ π€ π€ π€Usiwaambie sana bana ππ€£ wataturoga
Tulikua tunaongelea kuwa wapenzi bila sex ujue hapo kama umamuupgrade itakua sawa! Ila ya wapenzi bila sex itakua mjomba huna maajabu yoyote labda! yeah Labda tofauti na hapo weeeeeeeehhh!!!πππ Namsubiria bebi wangu Depal hadi ndoa π€΅π° Alafu ni makubaliano tu kati ya wapenzi.. Cha kwenye honey moon alafu mala ya kwanza kina nogaaa na ndio honey moon inaleta maana