Selfika na JF: Snap it. Show it

😊😊😊 Mie na wewe shangazi yangu hamna kinacho haribika
 
Ninunulie na mie, halafu muuzaji alishatest ubora wake? hebu uliza basi?
🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Muuzaji sijui kama katest mie mmiliki wa duka tyu naona muuzaji kajiongeza kuweka hizo dawa na zinaenda kinoma!! Kama hajatest ntakupa moja moja National Anthem mjomba wangu utestie huko kwa maduu zako mjomba πŸ˜‰Its an offer
πŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈ
 
Aisee, itakuwa ina balaa lake kama wateja ni wengi..
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Nafikiri kuna namna tuta itest kabla ya kuanza safari ya kurudi dar es salaam, nikuchukulie chupa 12 kila mwezi kachupa kamoja
Utakakamaa huku umedindaaaa mjombaa shauri yako!!πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ€£πŸ€£πŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈ
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Ukiwa na shangazi hamna kinacho haribika
Wazungu nao wana vumbi lao la kizungu, hizi spray una spray kwa pale kwenye kichwa cha familia, una spray kidogo tu, balaa lake sio poa, halafu ina kaharufu flani amazing..

Sasa kabla ya mpambano wa UEFA, unaingia bafuni kidogo unapulizia, mwenzako yupo uwanjani hana hili wala lile kumbe una nyuklia, ukitoka huko what will happen next, i dont need to tell, everyone knows already... Kama hii inaotwa KY Duration, ila situmii na sijawahi tumia, nipo natural...


 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Hizi ukiendekeza sana unachoka mwili mapema, nacho onaga kipindi cha sex unatumia nguvu sana.. Sijui watu wanaweza piga hizi mambo non stop.. Mie mchovu nikipata kama leo naweza kaa hata wiki mbili hadi mwezi bila shida, maana nikifikiria ile nguvu nayotumia nachoka
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Hatare sana siss!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…