raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,508
- 35,698
Heee hadi chumbani vinaingia duhVina vibe lake tu mkuu, nina enjoy asubuhi tukiamka vina makelele kimbia kimbia huku na huku basi mie roho yangu hapo inatulia kabisaaa, usiku nikilala navyo vinalala nina enjoy ukishakuwa single chronicle inabidi utafute furaha mbadala π π π au unasemaje mod mwenzagu mzabzab
Usiache asee, usipige kimya kimya tutaumia sana roho βΊοΈβΊοΈβΊοΈMpaka junia aingie tumboni sasa sijajua lini/ mwaka gani ila inshallah mtapata taarifa ili nipate hizo zawadi π€
Kweli Kabisa mama lipss!! Lakini mahusiano ya mbali pia ni sheeeeddaaaaaaahh!!! Ni changamoto kubwa mnoooo!Hahaha sio kuchangamka huko
Mawasiliano ni muhimu sana katika urafiki au uchumba .
Duuuh biblia yangu Ina maandiko tofauti kabisaMuhubiri 11:1
Jishughulishe na biashara
hata kama kwa kubahatisha;
yawezekana baadaye
ukapata chochote kile.
Hivi hao ndege huwa wanakula nini? kuna sehemu niliona wanapewa pilipili na karanga..Vina vibe lake tu mkuu, nina enjoy asubuhi tukiamka vina makelele kimbia kimbia huku na huku basi mie roho yangu hapo inatulia kabisaaa, usiku nikilala navyo vinalala nina enjoy ukishakuwa single chronicle inabidi utafute furaha mbadala π π π au unasemaje mod mwenzagu mzabzab
Ndio mkuu havikai bandani, vipo free kuweka kambi popote, ila usiku ni kimyaa, taa zikizima tu vilala ila ikiwa on ni mpela mpela mwanzo mwishoHeee hadi chumbani vinaingia duh
Hayo ni stress tupuKweli Kabisa mama lipss!! Lakini mahusiano ya mbali pia ni sheeeeddaaaaaaahh!!! Ni changamoto kubwa mnoooo!
Tukumbuke hili pia!
Hawa wanakula chochote alafu si wepesi kupata athari za kiafya, mie wanakula zabibu mchele karanga, maji juice korosho mtama ndiziHivi hao ndege huwa wanakula nini? kuna sehemu niliona wanapewa pilipili na karanga..
π―π¨Jamaneeee!! Ila ukishalijua hilo ukazoea kupangwaa aaaaahhh mbona unaona burudane tyu π€π€π€!!π³ Sasa unakuta mtu anajua kabisa kuwa this man is married he has wifeyy or ako na mtru wake specific still anamwambia kabisa niko tayari kuwa mke mdogo / mchepuko whenever utapniweka mie poa tyu huyoo si anaona kupangwa furesh tyu jamane π€π€π€???
Kasheshe ni usipozoea kupangwa siku ujue mnapangwa ndio utapata tabu sanaa utaumiaaa mnoo kama una moyo mwepesi ila ukijua aaaahh kila kitu unaona barida tu !!
Kuna watu wanachukulia mahusiano kisimposimpo sana yani" whatever π€·" still kuna wanaocomliketi hizohizo issues za kawaida sana katika mahusiano still kuna wanaochukulia kigumu mnoooo kwakua mioyo imetofautiana! Experience zimetofautiana
Juzi kuna status niona mtu kaweka nanukuu" Kuona uko pekeako Sijui nini naninii huo ni upungufu wa akili"
Nikajisemea tu nhiiiiiiiiiππΆπΌββοΈ
Vinakunywa hadi juice πHawa wanakula chochote alafu si wepesi kupata athari za kiafya, mie wanakula zabibu mchele karanga, maji juice korosho mtama ndizi
Fasiri inaweza ikawa tofauti ila maana ile ile bossDuuuh biblia yangu Ina maandiko tofauti kabisa
Msijalii kabisaaUsiache asee, usipige kimya kimya tutaumia sana roho βΊοΈβΊοΈβΊοΈ
Vinapiga juice mzee, leo nataka badae nivipe asali nione π π πVinakunywa hadi juice π
Kupangwa si poaJamaneeee!! Ila ukishalijua hilo ukazoea kupangwaa aaaaahhh mbona unaona burudane tyu π€π€π€!!π³ Sasa unakuta mtu anajua kabisa kuwa this man is married he has wifeyy or ako na mtru wake specific still anamwambia kabisa niko tayari kuwa mke mdogo / mchepuko whenever utapniweka mie poa tyu huyoo si anaona kupangwa furesh tyu jamane π€π€π€???
Kasheshe ni usipozoea kupangwa siku ujue mnapangwa ndio utapata tabu sanaa utaumiaaa mnoo kama una moyo mwepesi ila ukijua aaaahh kila kitu unaona barida tu !!
Kuna watu wanachukulia mahusiano kisimposimpo sana yani" whatever π€·" still kuna wanaocomliketi hizohizo issues za kawaida sana katika mahusiano still kuna wanaochukulia kigumu mnoooo kwakua mioyo imetofautiana! Experience zimetofautiana
Juzi kuna status niona mtu kaweka nanukuu" Kuona uko pekeako Sijui nini naninii huo ni upungufu wa akili"
Nikajisemea tu nhiiiiiiiiiππΆπΌββοΈ
Nakala iende Post M-alone ππMsijalii kabisaa
Hivyo hata pombe usikute vinakunywa..Vinakunywa hadi juice π
Unavijaribishia asali π€£ acha bhana utavikata moto wasagie tu juice ya parachichi vinywe vilale πVinapiga juice mzee, leo nataka badae nivipe asali nione π π π
Jamaa anakwambia anataka avipe asali leo π€£Hivyo hata pombe usikute vinakunywa..
Hawa ndege wagumu sana kupata magonjwa au kukata moto, wana nguvu sana tofauti na ndege wengine... Hata kuvishika kama haujazoe vikikuoa jino lazima ufurahi na roho yako πππUnavijaribishia asali π€£ acha bhana utavikata moto wasagie tu juice ya parachichi vinywe vilale π