Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nifundishe kupika tambi jaman kuna mtu alikuja home hapa nikaona anapika tambi kwenye flampen kaweka hoho karoti viungo kama vyote zilikuwa tamu balaa wakati mm tambi napika naweka maji naziweka humo maji yakiisha nakula

Ni rahisi tu
Ukizichemsha tambi weka kwenye chombo zikauke maji . Then kata vitunguu , hoho na carrot .

Baada ya hapo weka karai then mafuta weka viungo vyako hivi kwa karai zikaange ukianza vitunguu hadi cha karroti then weka tambi zako humo zikaange na viungo hivyo .
Punguza Moto ili zisiungue

Zikiwa tayari epua weka kwa chombo
 
Ni rahisi tu
Ukizichemsha tambi weka kwenye chombo zikauke maji . Then kata vitunguu , hoho na carrot .

Baada ya hapo weka karai then mafuta weka viungo vyako hivi kwa karai zikaange ukianza vitunguu hadi cha karroti then weka tambi zako humo zikaange na viungo hivyo .
Punguza Moto ili zisiungue

Zikiwa tayari epua weka kwa chombo
Asante sana mdogo wangu ubarikiwe
 
I do I do I do i do I dooo
I Do Baby
Anything you want I do

Mapenzi nipeleke nipeleke Kwa My Boo
Mahaba nitawale nikampatie nafuu
Raha usiende mbali twende wote usiku huu
Usiku special me na My boo


I see it Baby love on your face
When You kiss me I feel so sweet
Aisee
Dayna Nyange





Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom