Selfika na JF: Snap it. Show it

Juzi niliona amenitag mara mbili nikaishia tu kutikisa kichwa. Ile barua nilimtumia mpwa ili kama kuna uwezekano aifanyie "uchambuzi" ili tujue mahali pa kuanzia. Tunakuja mpwa 😁😁😁
πŸ˜‚πŸ˜‚Nitamuandikia yake Ile Cha mtoto aiwekee na lamination aweke ukutani akiingia ndani tu anaiona πŸ˜‚
 
Shida Sana changamoto tunazopitia
As if kuolewa ni kazi rahisi zama hizi .
Mtu inabidi ukae zako , akitokea wa kubeba sawa .. Kama sivyo uishi mwenyewe tu
Una bahati sijakuzoea....

Ningeshusha nondo hapa za kueleweka. Niseme tu mtazamo wako ni pevu na sahihi. I wish mabinti wote wangekuwa na mtazamo huu chanya. Tungezuia desperation, depression na kuingia kwenye ndoa mfu! Uko vizuri sana Tinsley πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Asante sana kwa kunielewa
Mambo mengine hayahitaji kulazimisha . Just let things flow , napenda kuwa optimistic muda mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…