Juzi niliona amenitag mara mbili nikaishia tu kutikisa kichwa. Ile barua nilimtumia mpwa ili kama kuna uwezekano aifanyie "uchambuzi" ili tujue mahali pa kuanzia. Tunakuja mpwa πππ
Juzi niliona amenitag mara mbili nikaishia tu kutikisa kichwa. Ile barua nilimtumia mpwa ili kama kuna uwezekano aifanyie "uchambuzi" ili tujue mahali pa kuanzia. Tunakuja mpwa πππ
Shida Sana changamoto tunazopitia
As if kuolewa ni kazi rahisi zama hizi .
Mtu inabidi ukae zako , akitokea wa kubeba sawa .. Kama sivyo uishi mwenyewe tu
Ningeshusha nondo hapa za kueleweka. Niseme tu mtazamo wako ni pevu na sahihi. I wish mabinti wote wangekuwa na mtazamo huu chanya. Tungezuia desperation, depression na kuingia kwenye ndoa mfu! Uko vizuri sana Tinsley πππ
Ningeshusha nondo hapa za kueleweka. Niseme tu mtazamo wako ni pevu na sahihi. I wish mabinti wote wangekuwa na mtazamo huu chanya. Tungezuia desperation, depression na kuingia kwenye ndoa mfu! Uko vizuri sana Tinsley πππ