Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sis @Lovelovie๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜ Direct from Gallery! No Snapchat no filter no collage maker no black and white!!!
๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜ Utaendelea kua wifi ccy kwa urembo huo naomba wote wakae mbali...hii ni chombo ya brother Mjep
 
Tumewapiga kama ngoma
Screenshot_20220905-012355_Instagram.jpg
 
boda anaweza bamizwa,, madogo wa chuga jau sanaaa


Eti ananiambia D muulize akakwambie kwann amekipeleka nje, Kwani mm sina mtu namgharamikia kila kitu โ€ฆ

Nikamwambia relax
Then exhale
Bla bla kibao hapo kati, jamaa akapoa kidogo.. hadi huruma akakaa chini
Akanambia nimekuelewa, nenda na Samahani kwa usumbufu
Nikasepa

Hii sauti kuna nyakati me mwenyewe siielewi
Kuna siku mama alinambia kaza sauti ukiongea na mm
Kwa hiyo jamaa yetu kasamehe!!
 
Fanya kunibless vocha ya halotel hapo boss wangu ili bday yako iende vizur unaambiwa siku ya kuzaliwa ni siku kutoa siyo kupokea nakusubir pm boss wangu
Happy birthday to you tajir mwenye crown athletes namba E kilometer 0
Mweh ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Njoo pm ndugu
Siwezi toka sasa , tuma number huko pm nikuweekee huko , tugawane umaskini .

Hata kuingia kwenye Crown sijawahi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Sis Lovelovie ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜ Direct from Gallery! No Screenshot no Snapchat no filter no collage maker no black and white!!!
๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Nasemaaa leo niko furuuuuuuu ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ
Beautiful โค๏ธ
 
Back
Top Bottom