Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 6,515
- 19,006
Kwani National Anthem wewe ni single faza?Single father vipi na sie
Kwani National Anthem wewe ni single faza?Single father vipi na sie
Raha ya kuvuta Anko wako awepo tuvutane Sasa aunt kuvutwa na joto tu Bora nikapambane huko





umenikumbusha kitu shangazii, nimecheka had chozi linatoka, mie nilikua nna ujinga mwingi mnoo. 












Hahaa kachanga kasema uje tu umuone na zawadi juu; burebure hatakiiii
Mama maleziiii mic u mnooo
Hebu mpost na kachanga tumuone bas.



Safiiii jirani
Hahaa kachanga kasema uje tu umuone na zawadi juu; burebure hatakiiii
Umemissika sana mwana-field




nakujaaa mama maleziii, nambebea baby kits, 




Unasongesha tena.
Nasingiziwa mimi jamanikm ulivyoniacha mm ,ndo zako kumbe
Nipo kandete mwakaleli nakusubiriaWee nilitoroka mara 1, nipo zangu mbeya Now.
Field bado sanaaaaah.
😁😁😁 mambo ni tough sogesha, mgodi , m-pawa , NMB fasterUnasongesha tena.
Naomba lift, Mr vocha.Mselfike
Karibu mimi mwenyewe nimepewa mlongoNaomba lift, Mr vocha.
Mwakaleli secondary unapajua!Nipo kandete mwakaleli nakusubiria