2 years?? Hata wadau wengi hawajajiunga na uzi huu, hiyo hata Mideko hawezi kuipata, ni wakati sahihi wa kutupia selfie nyingineNilishaselfika 2yrs ago itafute ipo
2 years?? Hata wadau wengi hawajajiunga na uzi huu, hiyo hata Mideko hawezi kuipata, ni wakati sahihi wa kutupia selfie nyingineNilishaselfika 2yrs ago itafute ipo
Mchana tu..Kesho saa ngapi
🤣🤣Ha haaaa hapana jamani. mzabzab hawezi kuwa muwe wangu loh hapana kabisa nakataaa. Nilikuwa natania
Kesho tutarudiana baby..Leo tumwagane tu. Nimelewa leo hata sikutaki...ngoja akili zangu zirudiJamani mbona tunabwagana hadharani tena mke
Na njaa...???🙄nimelala 😔😔
Usijali mke mdogo Darlin leo zamu yake kukata mauno so usijali wacha nile vitamu vya huku leoKesho tutarudiana baby..Leo tumwagane tu. Nimelewa leo hata sikutaki...ngoja akili zangu zirudi
ungeniamsha, acha leo nilale na njaa 😴😴Na njaa...???🙄
mkuu tunashinda humu, dalili moja wapo hatuna hela 😂😂😂 inaonekana hata kula tumepiga deshUsijali mke mdogo Darlin leo zamu yake kukata mauno so usijali wacha nile vitamu vya huku leo
Hatuna hela kweli. Wee unadhani tungekuwa na hela tungehangaika humu....sasa upo na warembo pale samaki samaki table imejaa pombe huku warembo wakijichapa mafoto wee umekumbatia viumo tuu na kuyachapa chapa matako yaomkuu tunashinda humu, dalili moja wapo hatuna hela 😂😂😂 inaonekana hara kula tumepiga desh
Usisuse bana...nimekuchemshia na chai ya iliki & tangawizi 🙂ungeniamsha, acha leo nilale na njaa 😴😴
😁😁😁😁 tupo hapa tunapita kila thread na kuacha comment, huku tumevaa magetoni boksa za draft draft na vestHatuna hela kweli. Wee unadhani tungekuwa na hela tungehangaika humu....sasa upo na warembo pale samaki samaki table imejaa pombe huku warembo wakijichapa mafoto wee umekumbatia viumo tuu na kuyachapa chapa matako yao
😁😁 iliki n tangawizi hapo sawa acha niamkeUsisuse bana...nimekuchemshia na chai ya iliki & tangawizi 🙂
Umejuaje mzee yaani ni kutulia ndani ya boxer na ki vest.😁😁😁😁 tupo hapa tunapita kila thread na kuacha comment, huku tumevaa magetoni boksa za draft draft na vest
Naona mzee unajisogeza na kwa mtoto beauty beauty😍😍😍😍😁😁 iliki n tangawizi hapo sawa acha niamke
Wapiii mzeee, nakuna kengere tu hapa... hapo sisogezi hata pua.. hela ya chapati na maharage kipengele.. mtoto kama huyo nitawezea wapi kumtunza mie mwenyewe nimeshindwa kujitunza na kujihudumiaNaona mzee unajisogeza na kwa mtoto beauty beauty😍😍😍😍
😁😁😁 nachungulia tu dilishani ma wife wa wapangaji wenzangu, wana wapelekea wana wao maji ya moto bafuni... dahUmejuaje mzee yaani ni kutulia ndani ya boxer na ki vest.
Ninmuda sana sijawasiliana na huyu mtu aise.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁 tupo hapa tunapita kila thread na kuacha comment, huku tumevaa magetoni boksa za draft draft na vest
Embu tupieni selfie tuone 😆😆Umejuaje mzee yaani ni kutulia ndani ya boxer na ki vest.