Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ahsante Mkuu,

Kuna dogo kaambiwa ameombewa nafasi ya Business Administration katika hicho chuo ila kumbukumbu yangu ya matangazo ya hicho chuo ni afya..

Sasa nashindwa kuelewa kanidanganya kwa makusudi au waliomwambia wamemuombea hiyo nafasi ndio wamemdanganya na yeye kaamini...

Soon she will be travelling there kwenda kutumia hiyo fursa..
Ni level ipi anayoenda huyo dogo, Diploma au Degree?
 
Hope by kujua unamaanisha kukifahamu chuo kiundani..

Kam ni hivyo nina uhakika hayupo kwenye position ya kukijua maana hana uzoefu wowote na masuala ya vyuo..

Yeye kaambiwa jina na kozi tu na siye aliyeapply
Duuuh hapo pagumu, nweiiiii kila kitu kitakua sawa.
 
Hope by kujua unamaanisha kukifahamu chuo kiundani..

Kam ni hivyo nina uhakika hayupo kwenye position ya kukijua maana hana uzoefu wowote na masuala ya vyuo..

Yeye kaambiwa jina la chuo na kozi tu na siye aliyeapply
Nimechungulia kwenye website yao. Courses offered.
IMG_20220901_235040.jpg
 
Back
Top Bottom