Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Asante ☺️☺️Nimeuona uzuri wako
Asante ☺️☺️
Ahaa uko poa lkn?Sijamuona
Ndiko nilikoitoa 🤣🤣🤣🤣Kule siasani kuna mtu amemtukana hivyo Mkuu wa mkoa
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Wamemtukana baba wa watu..Ndiko nilikoitoa![]()








Yani saivi sisi Chelsea tunapelekewa Moto Ni balaa ..tuneshakuwa matakataka hatuna maana Tena 😭😭😭Nilikuwa na stress zangu ila baada ya kuingia Uzi wa Chelshit stress zote zimeisha.
Yaani nimecheka...wanasema Kwa uzwazwa wa Tuchel,hata wakicheza na Tukuyu Fc wanafungwa🤣🤣🤣
Tuchel anafaa liverkuku siyo Chelsea ..huyu Ni avereji kocha anafaa timu Kama liverkuku ivi..Wamemtukana baba wa watu..
Ule uzi nilikuwa nausoma usiku nilitaka kuzimia Kwa kicheko
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
ila si unajua jioni huwa napenda nini😊😊😊
Ni matakataka ya kuchomwa tu😂😂😂Yani saivi sisi Chelsea tunapelekewa Moto Ni balaa ..tuneshakuwa matakataka hatuna maana Tena 😭😭😭
Usitupachikie watubwa hovyohovyo kwenye timu kubwa liverTuchel anafaa liverkuku siyo Chelsea ..huyu Ni avereji kocha anafaa timu Kama liverkuku ivi..
Watu wamepinda jaman🤣🤣🤣Kule siasani kuna mtu amemtukana hivyo Mkuu wa mkoa
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Eti Mashavu yake kama anatafuta mchele mbichiWatu wamepinda jaman![]()








Nipo wizoooo❣️Nilikuwa sijui
Nikashangaa tu sikuoni jamani wizoo 😍
Selfika wizo jamani 🥰Nipo wizoooo❣️
Base basi nifike home😅