Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee huyo boda boda ajiandae hapo, hilo halijaisha vzuri asije kurelaxπŸ˜‚

Hongera shogare kwa kutuliza, me hyo sauti yako sina mashaka nayo kabisa, hata mtu awe mgumu vipi akiiskia ni kama anapata uponyaji basi hasira lazima zipoeπŸ˜‚πŸ˜‚

Eeh ugomvi wa kushikiana silaha au hata wa ngumi haifai kuingilia kizembe, maana unaweza jikuta na wewe msamaria mwema unachanganywa humo humo unabaki kuuguza majeraha
 
Ila shetani nae anapenda kupitia watu sijui kwanini. Kwani hawezi kujipitia zake tu kimya kimya akaenda safari zake mwenyewe hadi apitie wengine jaman
Au anapenda kampani za watu ndio maana anawapitia waende wote

Nitakua nakutumia visticker uwe unacheka kupunguza usingz
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ boda anaweza bamizwa,, madogo wa chuga jau sanaaa


Eti ananiambia D muulize akakwambie kwann amekipeleka nje, Kwani mm sina πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ mtu namgharamikia kila kitu …

Nikamwambia relax
Then exhale
Bla bla kibao hapo kati, jamaa akapoa kidogo.. hadi huruma πŸ™Œ akakaa chini
Akanambia nimekuelewa, nenda na Samahani kwa usumbufu
Nikasepa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hii sauti kuna nyakati me mwenyewe siielewiπŸ™Œ
Kuna siku mama alinambia kaza sauti ukiongea na mm πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ
 
Sure
Ila watu wa Arusha wana hasira jamani
Ni vile tu sio famous kama wakurya,, ila na wao mori zikipanda moto wake ni balaa..

Nimeogopa sana πŸ˜‚πŸ˜‚ nyie wanaume when it comes to cheating issues mnakuwaga wakatili sanaaa …

Mwisho jana nakwambia
Hapa kuna muda nawaza tumwambie faza house aongee na mpangaji wake, siku wasije butuana mtu akateleza kwenye tiles akajiKanumba..

Maana nilivyohisi jana ni kama dada ameelewa sana show ya boda boda πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ
 
Shetani mtu mbad πŸ˜‚

Nitasikiliza ile VN πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
. Boda boda sijui wana nn hata, yaan ni Malaya mnooo. Khaaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…