Bado najifunza kizunguNiolewe mara ngapi Wige huyo Ndugu yangu!!
Mbna mie habari cna??? Hapana irudiweeeeeee!!God of a second chance!
Niolewe mara ngapi Wige huyo Ndugu yangu!!
Wee mie wa mrashia bana !Bado najifunza kizungu
Nilivyosoma second chance
Nikajua hii ya pili
Baada ya mlebanon
Lugha ngumu hizi khaa
Acha kelele bhasLeo nina furaha mnoooo, afu nlikua bored, but now niko muruaaaaaaah!!!!!!!
Team za kushinda tyuuuuh,
Away
Home
Mpira ndio furaha na burudani yangu.
Woyoooooooooooooooooh!!!!!!!!!


Asante sana jirani!! Siku mbilitatu Ulipotea sana humu jirani habari za wewe!!✋Hongereni jirani
Hivyo hivyoWee mie wa mrashia bana !


Wee utakua unapishana nazo bana mbona Natupia kila leo Wige!Hivyo hivyo
Siku hizi hutaki kabisa
Nikujue yaani huselefiki
Kwanini![]()
Sishabikii vikundi vya wanambio uwanjani.Halafu ni fans
Wa Arsenal
Mwakasensa Saint Anne
Nakuona hapo na vigoli vyako
Na umepigwa mboko tano za ugoko
Tugoli tuchache tu. Tena wamewafunga na nyie mnasumbua.Etihad 4 lifeeeeeee.
Mr Hat trick
Haaland!!!!!!!!!!!!
Top score ajayeeeeee.
Weuweeeeeeeeeeeh,
View attachment 2336750
Najua nini 😀Li zuri
Asante kwa marekebisho
Nakupendagha bure
Si unajuagha eeh![]()
Ulivyo Li zuriNajua nini![]()
Hesabu hesabuuuWa 12 atakuwa
Nawahesabu tu
SelfikaaaaUlivyo Li zuri![]()
Kaa kwa kutuliaHesabu hesabuuu
Kama Ezekiel alivyoambiwa na MUNGU itabirie uhai hii mifupa mikavu na kisha akaitabiria uhai ikaamka na kuwa jeshi kubwa,basi km wewe ni mfanyakazi wa kawaida (mifupa mikavu) hapo ofisini kwako basi nakutabiria kuwa utakuwa bosi mkubwa sn..sema AmeenNaiona picha kabisa.🥰🥰
Na iwe kama unenavyo.hakika sitokusahau ndugu yangu.have my words.