Njiro yote kwaanzia kontena makaburini ppf wamepita na karani wamejaa huko. Au wewe uko njiro ipi ile ya kule tindiga nini? ๐Sasa mbona Njiro hatujahesabiwa? Hata ofisini hawajapitaโฆ nyumbani pale labda gate hawakufunguliwa..
Ila Kikwakwaru wamehesabiwa, sina hakika kama Kikwakwaru ni sehemu ya Njiro, ila iko mgongoni kwa Njiro
Mimi siyo mrefu wewe...Wewe na urefu wako lakini kwa kifua nakufikia ๐คธ๐ปโโ๏ธ
Au wewe sio mrefu ๐?
Napita Uhasibu, Sifiki Contenaโฆ kama Karani kapita basi kapita me nishatoka home..Njiro yote kwaanzia kontena makaburini ppf wamepita na karani wamejaa huko. Au wewe uko njiro ipi ile ya kule tindiga nini? ๐
Kwa mrefu๐๐๐ kwahiyo nihamie wapi ili nikahesabiwe?
Nakusalimia chakorii๐Ninapaa Kesho ndugu yangu.
Ungo wa kupaa Uko gereji Kwa sasa
Habri ya asubuhi mtoto wa chugaNapita Uhasibu, Sifiki Contenaโฆ kama Karani kapita basi kapita me nishatoka home..
๐๐ Niwaambie kuwa wee ni tall, medium dark and handsome? Sio mnene, sio mwembamba ๐๐๐ huko tu hapo katiMimi siyo mrefu wewe...
Mimi ni "Tall" ila sina hakika kama ni "Dark" kuna ka lotion flani natumia keusiii kama mkaa nafanya jitihada nione kama December itafika nikiwa nimefanikiwa kuwa Dark ili mama mchungaji Heaven Sent anisajiri kwenye kile chama๐
Ila bahati mbaya sina uchebe, ndevu zangu hazina ushirikiano๐
Sijambo, shikamooHabri ya asubuhi mtoto wa chuga
Morning Poker Hope umeamka vemaGood morning kwa wanaselfika wote! Saint Anne Lovelovie Mjep Lizzy Depal Lenie Shimba ya Buyenze Ntiluseswa Wigelekelo raraa reree sophy27 National Anthem Post M-alone Mshana Jr Carrasco putin cocastic mawardat Surbi ! MPAKA SASA JUMAMOSI BADO SIJAHESABIWA NA DALILI HAZIONESHI KAMA NTAHESABIWA VP WENZANGU MMESHAHESABIWA!
Upo sahihi kabisa mkuu. Zoezi wamelifanya liwe gumu na gharama wao wenyewe na hata kupata data kwa ufanisi ni ngumu sana, watajukuta wana garbage za kutosha. Kwa technologia ilipofikia kupata idadi ya watu kwa usahihi ni rahisi sana tofauti na njia walio chagua wai. Ila tuishi nao tu, nili wish kunesabiwa ila paka sasa hivi sijahesabiwaHili zoezi ni bora mabalozi na wenyeviti wangepita kuhesabu watu wao, then makarani wakakuta data zote ofisi za serikali za mitaa, ndipo waanze ku feed data kwenye vishikwambi vyao,watu wengi wanalalama hawajapita kuwahesabu..
Njoo magetoni ukihesabiwa unarudi kwenu kesho๐๐๐ kwahiyo nihamie wapi ili nikahesabiwe?
Me nlihesabiwa siku ya kwanza asubui kabisaGood morning kwa wanaselfika wote! Saint Anne Lovelovie Mjep Lizzy Depal Lenie Shimba ya Buyenze Ntiluseswa Wigelekelo raraa reree sophy27 National Anthem Post M-alone Mshana Jr Carrasco putin cocastic mawardat Surbi ! MPAKA SASA JUMAMOSI BADO SIJAHESABIWA NA DALILI HAZIONESHI KAMA NTAHESABIWA VP WENZANGU MMESHAHESABIWA!
Noshamsamee shemeji.....nko salama sijui wwHuyo ni mpare
Msamehe bure
U hali gani shemeji
๐๐๐ anaweza hadi dimpoz zikapotea mwezi mzima ๐ซฃ๐ซฃ๐ซฃ๐๐ Imagine Depal anatoka magetoni na tule tudimpoz twake ๐๐ ananyata watu wasimwone ๐