Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimemuambia ajue ana deal na situation ipi, kwani vibaya kumuambia ukweli?

Kwani vibaya kumuambia ana flirt na gay na watu wakimuenjoy...? Kwani mtu akichagua maisha yake kuwa shoga ni tusi kumuita shoga?

Niambie basi wapi nimekosa busara...
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Anajisemea mamdo mdomo komaaa🤭🤭
Tuendelee kuselfika mazee mambo yake tumuachie mwenyewe!!
 
Nimetoa maoni yangu tu kutokana na hio komenti mkuu usinifokee ! mbaya hapa ni kuongelea personal life ya mtu as if wewe ndie unamjuaaa kuliko ajijuavyo!
Maoni yako sio maoni yake au .. ikishakuwa yako ni yako na ikishakuwa ya kwingine ni mwingine. Why umekujaa juu sana huku mwenyewe haja respond ? au unatete nini mkuu
 
Kishkwambi Kwani weee ni karani mjomba??😂😂!!
Sawa mjomba nibless na selfii mchana wangu uchangamke basi mjomba wangu!! Nipo hapa nakusubiri 🙇
Unaona shangazi yangu, sina picha labda badae akija mtu aniphotoe 😀😀
B58662E6-52E0-4F19-9FA6-B7DECEA3BB11.png
 
Back
Top Bottom