Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Nikifika hapo nipatie majabhu ya kuchoma pembeni avocado..Ndiyo sisi. Letaaa makatapelaaa
Lazima wasimulie!Mkuu wa kaya.
Walitupitishia karatasi kwanza so ilikua chaap tu haaa haa.Umemkomesha package yote ya maswali huku mmesimama😎😎!!
Lazima wasimulie!
Hakuna tunda tamu kama parachichi aisee.Hivi parachichi limewakoseeni nini?
Yaani unakula mti unaisha...
Parachichi 2x3 kama vidonge..

Unasalimiwa mnoUnasemaaa?????![]()

Hayajui matakapela huyuNdiyo sisi. Letaaa makatapelaaa





Bado upo??Irudiweeee irudiweeeee
Habari za Mumbai ndugu
DuhMkuu wa kaya.

Akijautmsimulia huyu kingozi wao😁Yupo huyu😂😂
Watu ni masilent viewers
Nipooo nkamuBado upo??
Au umeshawahi kwa ndugu karani??
Huyu karani ameiba shati languDuh
Watu jamani.
Mimi nilikaa na Karani...
Alikuwa na kigugumizi kwa hiyo nilienda naye mdogo mdogo zaidi ya saa nzima.
Ila chai sikumpa.View attachment 2334233
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kwa kweli ukienda msimu ujao unikumbuke tu


Kodoa macho karani mzoefu anapitaNipooo nkamu
Karibu boss ladySamaleko wana selfika!✋
Duuuh mi wanaopika wameenda likizo na nyumba iko vurururu.Duh
Watu jamani.
Mimi nilikaa na Karani...
Alikuwa na kigugumizi kwa hiyo nilienda naye mdogo mdogo zaidi ya saa nzima.
Ila chai sikumpa.View attachment 2334233
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app