Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Ndugu karani umeanzia mtaa gani kwani?😁😁Nitapita hapo Jumapili tarehe 27.08.2022 endelea kuvuta subira mwananchi
Ndugu karani umeanzia mtaa gani kwani?😁😁Nitapita hapo Jumapili tarehe 27.08.2022 endelea kuvuta subira mwananchi
Ni kweli kabisa mkuu...Kwa kweli karani hajapita hadi sasa. Ngoja tuendelee kutulia, siku hazijaisha bado.
Na mimi nashangaa...Anapotea wapi?
Huku..👉👉👉Nimenzia huku mabonde kuinama kwa kina Saint Anne huku🤣



Nyanda za juu kusiniNa mimi nashangaa...
We na HS mnatokea pande ipi ya Tanzania?
Irudiweeee irudiweeeeeHuku..![]()
Anhaa ndio nyie asubuhi chai na avocado...Nyanda za juu kusini
😂😂😂😂😂😂Na mimi nashangaa...
We na HS mnatokea pande ipi ya Tanzania?
Sasa mbona unakuja Mbeya na hausemi😂😂Huku..👉👉👉
Parachichi 2 mara 3 Kwa siku.Anhaa ndio nyie asubuhi chai na avocado...
Mkikosa avocado kwenye mlo bora siku ipite..
Elfu 20 movie??Karibu nikupe application ya Netflix ambayo haina malipo ya kila mwezi, uangalie movie yeyote unayo itaka milele bila kulipia malipo ya mwisho wa mwezi.
(Kumbuka application ya kawaida itakudai malipo yasiyopungua elfu 20 kila mwezi ili uendelee kupata huduma ya kuangalia movie, ila hii ninayo kupa mimi haina hayo malipo ya kila mwezi, yaani ni BUUUREEEE kabisa)
Nitakupa application hii kwa 5000 tu.
Karibu Whatsapp 0620181872![]()
Asitutanie kabisa.Hawezi kutuharibia surprise yetu aisee
Yupo huyu😂😂Hapa
😂😂😂😂na kufika kileleni kwenyewe hawafiki.
Bas tabu tupu woiiiiiiiih
Sawa bossElfu 20 movie??
Aiseee...kweli kila mtu na hobby yake.
Watakuja mkuu,wakali wa kuangalia movie wengi tu humu


Hivi parachichi limewakoseeni nini?Parachichi 2 mara 3 Kwa siku.
Hapa naulia mparachichi wetu timing..ukikomaa tu huyoo naibuka nyumbani..hadi uishe na mimi naondoka.
Ndiyo sisi. Letaaa makatapelaaaAnhaa ndio nyie asubuhi chai na avocado...
Mkikosa avocado kwenye mlo bora siku ipite..
Kutwa mara 3Hivi parachichi limewakoseeni nini?
Yaani unakula mti unaisha...
Parachichi 2x3 kama vidonge..


