National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,199
Nimekuweke picha ya mjuu wako umeikosa 😀😀Unajua kupotea
Mzima lakini
Nimefurahi kukuona tena
Nakupendaga tu
Nimekuweke picha ya mjuu wako umeikosa 😀😀Unajua kupotea
Mzima lakini
Nimefurahi kukuona tena
Nakupendaga tu
Kwa kweli karani hajapita hadi sasa. Ngoja tuendelee kutulia, siku hazijaisha bado.Sawa sawa mkuu, Karibu sana, vipi huko karani amepita?
Na Mimi nimefurahi kukuona Wige rafiki ake AnneUnajua kupotea
Mzima lakini
Nimefurahi kukuona tena
Nakupendaga tu
Sekta hii huna mpinzaniNope; nisikutie moyo, wala nisikukatishe tamaa. Nendeni kwenye kanisa mnalotamani kufungia ndoa; then waelezeni juu ya Nia yenu njema; naamini watawasikiliza na kuwasaidia kufanikisha jambo jenu. Ila muwe wavumilivu; kufika tu na kufungishwa ndoa within a month sio rahisi. Afu baada ya ndoa mnataka muwe mnasali wapi? Maana isiwe tu mkawa mnataka kanisa liwasaidie kufunga ndoa then after ndoa mrudi huko kusikojulikana. Au tafuteni mtu mzima ambaye anawafahamu kidogo awasaidie kuongea na huyo Mchungaji. Nia yenu ni njema sana; Mungu aifanikishe; ila pia muwe na kanisa maalumu mtakapokuwa mnachungwa na kulelewa kiroho
Hahaha Mimi mwenyewe muumini tuSekta hii huna mpinzani
Sasa fanya kuwafungisha hiyo ndoa
Wacha bhanaMjukuu wako anakusalimia, leo birthday yake bwanaaa mje kula keki



Hapa hupajuiWacha bhana
Sasa itakuwaje
Kibali bado asee
Ni pale palee![]()
Weka kuleNimekuweke picha ya mjuu wako umeikosa![]()
Hii mpya

Mjuu wetu huyu 🤣🤣🤣Hii mpya![]()
Na wote tuseme AminaaSi umeridhika
Kaa hivyo hivyo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Masanja mkamizaji au Mashimo
Wasiliana nao
Anapotea wapi?Mkuu unapotea sana..
Kwanza akupe tu PDF lote🤣Nimecheka
Upende usipende utachukuaNimekwisha 🤣🤣
😁 Sijawahi ona mianzi mifupi..
HapaAnapotea wapi?
Nitapita hapo Jumapili tarehe 27.08.2022 endelea kuvuta subira mwananchiKwa kweli karani hajapita hadi sasa. Ngoja tuendelee kutulia, siku hazijaisha bado.
Hawezi kutuharibia surprise yetu aiseeUpende usipende utachukua