Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Greetings My Sister Chakorii

Actually siishi kushangazwa with your humility 🤗

Nakumbuka ila mishemishe my sister zinanikaba sana.. 🙈
😊😊

Juzi nilikuwa napitia uzi fulani hivi wa mwanajf kufariki..niliwaza mengi sana juu ya i’ds zetu fake hizi.

Ulipita kwenye hiyo tafakari.

Ninaamini unaendelea vyema sana kaka😊😊

Hongera Kwa kuupata ubavu wako.Mungu akawe silaha na nguzo katika maisha yenu.ukawe na ndoa yenye furaha na Amani
 
Core issue ni Mchungaji wa Kiroho ila mahali not a big deal sana na niliposema ofisini kwake ni endapo itawezekana lkn sio sharti sana...

No Mkuu! Nahitaji Mchungaji asiye kanjanja..
Mmh sio rahisi sana. Ni vyema Mchungaji awajue kondoo wake vizuri kabla ya kuwasimamia jambo lao lolote la kiroho. At the end of the day yeye ndiyo atakuwa answerable juu ya ndoa yenu in case of anything.. Ndiyo maana hata tunapotaka kufungia ndoa/ mazishi mbali na tunapoishi; tunapewa barua kutoka huko tulipotoka kwenda nayo huko kwingine. Ni kama ambavyo sio rahisi wewe kumdhamini/ kum-recommend mtu ambaye humfahamu kabisa.

Kila kanisa lake lina taratibu zake. Mengi yatakudemand uwe muumini wao for a certain period of time ndiyo wakukubalie kuwafungisha ndoa. Labda kwenye hayo makanisa ambayo Mchungaji ndiyo Kila kitu anaamua yeye atakavyo; otherwise sio rahisi sana. Kwa nini usiende kule ulipokuwa unasali before at least wanakufahamu; au huko anaposalia mtarajiwa wako?
 
Kuhusu kurejea kwenye kanisa nililokuwa nasali kipindi cha nyuma napata wakati mgumu kw sabb ni miaka mingi nimeacha yaani tentatively with effect from 2016 huko plus katika hilo kanisa kulikuwa na utartibu wa kujisajili ushirikia kitendo ambacho sikufanya.

Labda niangalie probability ya kwa mtarajiwa ingawa na yeye sio mwenyeji kivile sabb mkoa ninaoishi amekuja muda si mrefu.. Pia naona kuna hatihati ya kuulizwa nasali wapi judging from your words wanirecommend Vilevile...

Sema maneno yako Mkuu yamenivunja moyo kiaina maana lengo langu ni kutengeneza na Bwana kwa habari ya ndoa yangu na si vinginevyo lakn mazingira seems sio supportive kwa mtazamo wangu.. Na haieleweki duration ya kuwa recommended ni kipindi gani..
Nope; nisikutie moyo, wala nisikukatishe tamaa. Nendeni kwenye kanisa mnalotamani kufungia ndoa; then waelezeni juu ya Nia yenu njema; naamini watawasikiliza na kuwasaidia kufanikisha jambo jenu. Ila muwe wavumilivu; kufika tu na kufungishwa ndoa within a month sio rahisi. Afu baada ya ndoa mnataka muwe mnasali wapi? Maana isiwe tu mkawa mnataka kanisa liwasaidie kufunga ndoa then after ndoa mrudi huko kusikojulikana. Au tafuteni mtu mzima ambaye anawafahamu kidogo awasaidie kuongea na huyo Mchungaji. Nia yenu ni njema sana; Mungu aifanikishe; ila pia muwe na kanisa maalumu mtakapokuwa mnachungwa na kulelewa kiroho
 
Ahsante kwa ushauri Mzuri Mkuu..

Kuhusu kusali Mkuu, niseme tu namheshimu Mungu sana ingawa anasema imani bila matendo ni sawa na bure na kwel ukichek uhalisia niko mbali sana na Mungu kimatendo...

Mpaka leo sielewi kwa nini nakosa hamasa kabisa na habari za kwenda kusali kanisani maana sina ubize huo na Jumapili zote huwa nashinda home na hata siguswi kwenda..
There must be a reason. But whatever it is; hakikisha unafufua upya mahusiano yako na Mungu. Na ni vyema kukutana (fellowship) na wengine; kumwabudu Mungu, kuomba, kujifunza neno n.k. Mungu akuongoze kupata mahali sahihi pa kuabudu
 
Back
Top Bottom