cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Cha mwanzo kabisa nusu kinivunje nyoga wakati najaribisha🤣🤣🤣kiranga kwishaHigh heels wee huogopi kuanguka dea??
Kitu ya mwanaume imeshtua COCA kamatia hiyo rungu






mbna sioni rungu, zaidi ya fungu nyanya za buku. UwiiiihNipo mie dea,Miss you more my lovely..
Unapotea sana.
Name only the place tafadhali.




Sher monamkhaaaaaah
Cha mwanzo kabisa nusu kinivunje nyoga wakati najaribishakiranga kwisha






nyie mtavunja meno wallah.Hawawez kukataa sidhani kama inaweza kuwa hivo japo sio muumin huko nenda Kwa askofu wako ongea nae naamini litakaa sawaAhsante Mkuu..
Sijawahi kuwa mshirika rasmi.. Nilikuwa naenda tu kujisalia tu lakn sikuwahi kujisajili na utaratibu wa kujisajili upo ingawa mimi sikufanya hivyo..
Kingine nimeacha kwenda siku nyingi sana ni miaka sasa..
Nahisi watanikataa sabb si mshirika..
Umeanza 😁cuzoooooooo niwacheeeeee, wee uwe na duka??? Bas mie ntakua na store wallah.
Pumbuz😎!mbna sioni rungu, zaidi ya fungu nyanya za buku. Uwiiiih
🤔🤔🤔
Kimbelembele kinikome😁nyie mtavunja meno wallah.
Mambo dear
Ndio mkuu wapo mbona! Ongea nae vizuri tu atakuelewa!Ahsante Surbi..
Ya serikali naifahamu lkn hatupendelei...
I just hope kuna namna naweza pata upenyo tukafungishwa na Mchungaji wa kiroho..
Naamini kuna wachungaji huenda wana serve watu kama mimi..
ukipea yy ktumbua ndo utajua kama ni rungu au k2 ya mwanaumembna sioni rungu, zaidi ya fungu nyanya za buku. Uwiiiih
Maamuzi sahihi..Mungu awafikishe safari yenu salama,awaepushe na kila hula za muovu shetaniDoon decided..
Doon without undue influence i have decided to get marry as soon as possible by next month...
Kuna binti nimefahamiana naye a month now, nadhani anatosha kuvaa cheo cha mke wangu...
Ndoa yetu tungependelea ifungwe na Mchungaji wa Kiroho na iwe simpo tu yaani ikiwezekana ifungiwe ofisini kwake baada ya hapo maisha yaendelee... Nieleweke Kuna sabb za msingi za kutaka hivi...
Hata hivyo, nipo kwenye dilemma juu ya applicability ya mfumo wa ndoa tunayotaka na uwezekano wa kupata Mchungaji wa kutufungisha haraka hivyo maana mimi si mshirika wa kanisa lolote...
Any assistance will properly be appreciated. At least niishi naye kihalali as per prevailing standards 🙏
Sasa unataka nini Mkuu?Ahsante Surbi..
Ya serikali naifahamu lkn hatupendelei...
I just hope kuna namna naweza pata upenyo tukafungishwa na Mchungaji wa kiroho..
Naamini kuna wachungaji huenda wana serve watu kama mimi..