Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Doon decided..

Doon without undue influence i have decided to get marry as soon as possible by next month...

Kuna binti nimefahamiana naye a month now, nadhani anatosha kuvaa cheo cha mke wangu...

Ndoa yetu tungependelea ifungwe na Mchungaji wa Kiroho na iwe simpo tu yaani ikiwezekana ifungiwe ofisini kwake baada ya hapo maisha yaendelee... Nieleweke Kuna sabb za msingi za kutaka hivi...

Hata hivyo, nipo kwenye dilemma juu ya applicability ya mfumo wa ndoa tunayotaka na uwezekano wa kupata Mchungaji wa kutufungisha haraka hivyo maana mimi si mshirika wa kanisa lolote...

Any assistance will properly be appreciated. At least niishi naye kihalali as per prevailing standards 🙏
Hongera mkuu.
Fungia ndoa kanisa ulilokuwa unasali kabla hujaacha kwenda.
 
Doon decided..

Doon without undue influence i have decided to get marry as soon as possible by next month...

Kuna binti nimefahamiana naye a month now, nadhani anatosha kuvaa cheo cha mke wangu...

Ndoa yetu tungependelea ifungwe na Mchungaji wa Kiroho na iwe simpo tu yaani ikiwezekana ifungiwe ofisini kwake baada ya hapo maisha yaendelee... Nieleweke Kuna sabb za msingi za kutaka hivi...

Hata hivyo, nipo kwenye dilemma juu ya applicability ya mfumo wa ndoa tunayotaka na uwezekano wa kupata Mchungaji wa kutufungisha haraka hivyo maana mimi si mshirika wa kanisa lolote...

Any assistance will properly be appreciated. At least niishi naye kihalali as per prevailing standards 🙏
Hongera sana mkuu ni hatua kubwa sana na yeye apatae mke amepata Kitu chema!
Nashauri ufunge ya kidini tu kama mkristu kanisani kama muislam vivohivo!
Unaposema hutaki mambo mambo mengi unamaanisha unataka ya serikali kama ni yakiroma ina mlolongoooo!
 
Ahsante Mkuu..

Sijawahi kuwa mshirika rasmi.. Nilikuwa naenda tu kujisalia tu lakn sikuwahi kujisajili na utaratibu wa kujisajili upo ingawa mimi sikufanya hivyo..

Kingine nimeacha kwenda siku nyingi sana ni miaka sasa..

Nahisi watanikataa sabb si mshirika..
Chief habar yako.

Hivi unakumbuka Uko na deni sehemu😎
 
Back
Top Bottom