Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hakuna kampuni wana kasi ya mtandao kama Voda, huduma zao za Internet sio tigo, halotel, airtel n.k wanafikia...
Jamaa Voda wapo njema kwa kila eneo, zamani za kale nilikuwa na wish sana kufanya kazi pale kama IT .. ila ndoto zikafaaa baada ya kuanzia Airtel 😃😃 kama walinivuruga mawazo yangu napo nilifanyaha miezi sita nikashindwa kazi
 
Jamaa Voda wapo njema kwa kila eneo, zamani za kale nilikuwa na wish sana kufanya kazi pale kama IT .. ila ndoto zikafaaa baada ya kuanzia Airtel 😃😃 kama walinivuruga mawazo yangu napo nilifanyaha miezi sita nikashindwa kazi
Wapo vizuri sana na wakikuambia ni 4G LTE amini, mbali na kasi ya internet huduma zao zimenyooka hazisui sui kama hawa wengine, wapo vizuri sana.

Bado mapema utafanya kama IT hapo na ndoto itatimia mkuu
 
Bachelor things Lenie
EBD0847E-111F-4E12-A28A-2B16C1E2F54C.jpeg
 
Au unakuwa umewasha data?
Huduma kwa wateja wanasemaje?
Nazima data
Na nishajitoa kwenye huduma zote za kukata hela.

Last time walipokata nikawapigia. .wakaniambia ngoja wachunguze kwanini hela imekatwa.
Nilishaachana nao maana ni upumbavu nishapiga bajeti Elfu 2 yangu niunge kifurushi cha siku 3 halafu wananichania mkeka🥺
 
Back
Top Bottom