Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi Sakina nilikuwa natembea hadi saa 6 uskku, tuko tu na shoga angu…

Nikienda Dar saa 11 alfajiri nachoropokea tu hapo Raskazone alone na bag langu

Sikuwahi hata kusikia mluzi wa wee simama eti nianze kukimbia ama kuporwa ..

Ila nasikia kale ka mtaa ka Triple A kupanda ile rough road ya juu kunae vibaka balaa 😂😂 sijui kule panaitwa white Rose.. sema huku sio Sakina si ndiyo? Carlos Tevez

Kishikwambi kimeibiwa uswahilini huko Matejoo sijui Unga Ltd Saint Anne itakuwa karani alikaa kireee sana , wajuba wakamsaidia matunzo 😂😂😂
 
Mimi Sakina nilikuwa natembea hadi saa 6 uskku, tuko tu na shoga angu…

Nikienda Dar saa 11 alfajiri nachoropokea tu hapo Raskazone alone na bag langu

Sikuwahi hata kusikia mluzi wa wee simama eti nianze kukimbia ama kuporwa ..

Ila nasikia kale ka mtaa ka Triple A kupanda ile rough road ya juu kunae vibaka balaa sijui kule panaitwa white Rose.. sema huku sio Sakina si ndiyo? Carlos Tevez

Kishikwambi kimeibiwa uswahilini huko Matejoo sijui Unga Ltd Saint Anne itakuwa karani alikaa kireee sana , wajuba wakamsaidia matunzo
Mimi ninachojua ni kwamba kimeibiwa Arusha

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Mimi Sakina nilikuwa natembea hadi saa 6 uskku, tuko tu na shoga angu…

Nikienda Dar saa 11 alfajiri nachoropokea tu hapo Raskazone alone na bag langu

Sikuwahi hata kusikia mluzi wa wee simama eti nianze kukimbia ama kuporwa ..

Ila nasikia kale ka mtaa ka Triple A kupanda ile rough road ya juu kunae vibaka balaa 😂😂 sijui kule panaitwa white Rose.. sema huku sio Sakina si ndiyo? Carlos Tevez

Kishikwambi kimeibiwa uswahilini huko Matejoo sijui Unga Ltd Saint Anne itakuwa karani alikaa kireee sana , wajuba wakamsaidia matunzo 😂😂😂
Hako ka mtaa triple A ni hatari tupu. Pale sio sakina bhana pale si Techical?
 
Back
Top Bottom