Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Watu wa Arusha mmepeleka wapi kishkwambi cha kaminsaa jamaniMane kqwqachiq kijini






Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Watu wa Arusha mmepeleka wapi kishkwambi cha kaminsaa jamaniMane kqwqachiq kijini






Halafu eti nilikapteniKuna mzee wenu mmoja alilambishwa nyasi na Sancho bila kupenda![]()

Dj waleteeeeHalafu eti nilikapteni
Nilitamani kujikaba kwa maumivu ya wale wapumbavu mule uwanjani
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mimi ninachojua ni kwamba kimeibiwa ArushaMimi Sakina nilikuwa natembea hadi saa 6 uskku, tuko tu na shoga angu…
Nikienda Dar saa 11 alfajiri nachoropokea tu hapo Raskazone alone na bag langu
Sikuwahi hata kusikia mluzi wa wee simama eti nianze kukimbia ama kuporwa ..
Ila nasikia kale ka mtaa ka Triple A kupanda ile rough road ya juu kunae vibaka balaasijui kule panaitwa white Rose.. sema huku sio Sakina si ndiyo? Carlos Tevez
Kishikwambi kimeibiwa uswahilini huko Matejoo sijui Unga Ltd Saint Anne itakuwa karani alikaa kireee sana , wajuba wakamsaidia matunzo![]()







Umeisha hesabiwa au bado 😬😬
Hako ka mtaa triple A ni hatari tupu. Pale sio sakina bhana pale si Techical?Mimi Sakina nilikuwa natembea hadi saa 6 uskku, tuko tu na shoga angu…
Nikienda Dar saa 11 alfajiri nachoropokea tu hapo Raskazone alone na bag langu
Sikuwahi hata kusikia mluzi wa wee simama eti nianze kukimbia ama kuporwa ..
Ila nasikia kale ka mtaa ka Triple A kupanda ile rough road ya juu kunae vibaka balaa 😂😂 sijui kule panaitwa white Rose.. sema huku sio Sakina si ndiyo? Carlos Tevez
Kishikwambi kimeibiwa uswahilini huko Matejoo sijui Unga Ltd Saint Anne itakuwa karani alikaa kireee sana , wajuba wakamsaidia matunzo 😂😂😂
Naomba awalete na ule Wimbo wa Imagine being us...Dj waleteeee
Haha wee Matejoo hapana aiseeHahahhaaaaa. Tatizo ww umezoea huko ushuani kwenu tuu
Hongera nawasubiri na mie nihesabiwe, nikiulizwa mpo wangapi nataka idadi ya active wote wa jf nao wajua 😃😃
Kafie mbele 🤣🤣😂😂
Naomba awalete na ule Wimbo wa Imagine being us...






Kuandika nyuzi moja tu ushatuona wengine wasumbufuUnasumbua mchina mbongo
Ndio la msingi hilo
Uone Chq list ama 😂😂😂😂 acha wehuEm nione 😂 😂
Huo uzi niliondikishwa kimasihara 😂Kuandika nyuzi moja tu ushatuona wengine wasumbufu
WivuuuuuuNdio la msingi hilo