Cunajua sina babamba nyingi in
cocastic voice ntakupenda na kukujali kibosibosi kama
Mjep ntakulinda na wabaya wetu akina
Surbi ntakuombea dua usiwe na hasira za
Lovelovie ila uwe na subra na upole wa
Shimba ya Buyenze. Ntakupeleka kuinjoy Zanzibar kwa akina
Lizzy huko ntakununulia misosi ya maana kama ya
Saint Anne, wanga wakiona wivu ntaongea na
Mshana Jr atupe kinga. Ntawaita wapambe wangu akina
Carrasco putin waje wakupe maneno ya kheri na faraja. Ntalilinda penzi letu kama urafiki wa
Depal na
Lenie. Ntalike kila kitu kwenye maisha yako kama
mkwepu jr na
myoyambendi . With regards madam teacher
Antonnia i love you kwa sana!