Yaaani nilikuwa muanzisha vicheko..watu wanacheka Kwa namna ninavyocheka
Akiyanani katika kitu siwezi kujizuia basi ni kicheko na kilio.
Kicheko Cha matajiri na wenye kazi sijui nitacheka mbele ya Safari huko.
Siku moja boss alipokea simu,,yale maongezi yalikuwa yanachekesha japo ya vitu serious...Mimi kama kawaida mtoto wa watu nikajiachamiaπ€£π€£π€£π€£