Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,214
- 29,383
Huku Amani imetawala kbs mkuuKwema kamanda! Amani kabisa mkuu wangu ? Habari ya weekend ?
Emu acha bange π€£π€£Sina hela halafu nacheka kama Bakhresa,,ni matumizi mabaya ya kichekoπ€£π€£π€£
Naangua kicheko unakuta wengine wanacheka sababu ya kicheko ulichokiangua.
Na uendelee kutokujua πWameru wanakuwaga wakorofi Sana sijui Kwa nn..
Tupe walau vionjo vyake Mjukuu, sisi Wazee tumeshauriwa tuwe tunafurahi kuongeza siku za kuishi πKuna video moja ya sensa nimeiona Nimecheka sana! Watu wanavituko sana !!
Mimi nikikumbuka vicheko vyangu Kwenye vunues zenye maelfu ya watu pale Udom akiyanani nacheka Tenaππ€£π€£π€£π€£π€£[emoji16][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] hii komesha!![emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji16][emoji16][emoji16] Nimecheka kibwegemtozeni[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji16]
Kuna vitu / watu vinachekesha sana Jamani tucheke tu kwanza kucheka ni afyaaa!![emoji1][emoji1][emoji1]
Mtu masaa yote ukae [emoji34][emoji2955][emoji35][emoji35] kisa nini !!
Mkuu niuzie hivi viatu..nipo kigamboni chekechea hapaπ
[emoji1787][emoji1787]Mwenzio sijui hata wanaopoaje humu[emoji28][emoji28]
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Chumbani kwa shemela napaheshimu sana Huyo tumeambiwa wa sis Antonnia na kibanda cha vocha keshakabidhiwaa. So tukae kwa kutulia
Ahsante mdogo wanguNimekuja nimekujaaa kaka mkubwaa[emoji125] kwanza heshima yakoooo kakaa [emoji113]
Pili miss uu mbaya mbovuuu [emoji8]!!
Ukianza kuelezea Vita vya Maji Maji utasema 1905-1907 ulikuwepo πNa kumbukumbu πππ
NdiwoooooKwetu nimefundishwa kumpiga mwanamke kitandani na mjegejaπ,siyo makonde mwishowe tutiane ulemavu
Kupigana siyo poa eti
Yaaani nilikuwa muanzisha vicheko..watu wanacheka Kwa namna ninavyochekaEmu acha bange π€£π€£
We mchochezi mdogo wangu πππππ
Nipo kakaa popcorn kama zoteee! ngoja nimstue na sis Antonnia kabisaAhsante mdogo wangu
Kaa hapa hapa usitokeee
Maana mzigo unapanda wa kutosha
Tafuta na popcorn za jero hapoπ€£π€£
Amechanganya mie ni semeji buana mwenye mali Mamaa mwenye Shepu lakee la kuombea mkopo !! Mamaa wa kibanda cha vocha mamaa asie na makuu mamaa mpole Antony Nyampua πWe mchochezi mdogo wangu πππππ
EbuWee ngosha Vocha zikiwekwa nistue!
Nawewe uweke picha sasa tatizo mie sipendi makelele . Hilo tu.
Mdogo wangu na wewe upambe kumbe unauweza ngoja aje mwenyewe upambane naye ππππAmechanganya mie ni semeji buana mwenye mali Mamaa mwenye Shepu lakee la kuombea mkopo !! Mamaa wa kibanda cha vocha mamaa asie na makuu mamaa mpole Antony Nyampua π
Nauweza kwani kidogo !! Shusha vituu shusha vituu kakaaMdogo wangu na wewe upambe kumbe unauweza ngoja aje mwenyewe upambane naye ππππ