Pole mkuu. Utakuja kuwasimulia wajukuu kuhusu hayo makovu uliyoachiwa. Tena wafunge kamba kuwa yalitokana na mapambano yako na simba na wanyama wengine wakali walipojichanganya na kuvamia ng'ombe uliokuwa ukiwachunga. Wajukuu utawasikia tu "kumbe we babu siyo mtu wa mchezo mchezo eeeh!"...Halafu wakikua kidogo utasikia babu yetu huyu kwa fiksi dah!