Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Yanga mna matatizo ganiUsije ukanitelekeza njiani..huaminiki wewe.
Siaminiki vipi
Wapi na lini

Yanga mna matatizo ganiUsije ukanitelekeza njiani..huaminiki wewe.

Kweli kabs unaanzaje kuchukia na mtu wa mtandaoni😀😀😀 Umeonaaa, mrembo kama huyu hutokuta anazeeka yani kila siku kama kigori, maana moyoni hana baya wala uchungu, ana generate u binti kila siku kwenye mwili wake na roho yake..
Asante, nafurahi pia.Nipo poa
Nafurahi kukona hapa
😀😀😀😀 stress mbaya mkuu, na hasa mtu anaposhindwa kuzi handle.. ila huyu mrembo Lizzy anafaa kuwa msaikolojia anaonekana mtulivu sana katika akili sio mkurupukaji, anasikiliza kabla hajasema, so hata ukiwa na jambo zito mcheki 😀😀😀😀 anaweza kukusaidia kuli manage vizuri ☕️Kweli kabs unaanzaje kuchukia na mtu wa mtandaoni
Nashangaaga sana wanaotukanana mitandaoni
105% 😊Unapenda sana muvi lizzy
Embu hizi sifa ziwafikie watesi wangu ☺☺😀😀😀 Umeonaaa, mrembo kama huyu hutokuta anazeeka yani kila siku kama kigori, maana moyoni hana baya wala uchungu, ana generate u binti kila siku kwenye mwili wake na roho yake..
Hapo kwenye bold umepiga ramli??😳😳😳😀😀😀😀 stress mbaya mkuu, na hasa mtu anaposhindwa kuzi handle.. ila huyu mrembo Lizzy anafaa kuwa msaikolojia anaonekana mtulivu sana katika akili sio mkurupukaji, anasikiliza kabla hajasema, so hata ukiwa na jambo zito mcheki 😀😀😀😀 anaweza kukusaidia kuli manage vizuri ☕️
😀😀 mtu anae amuwa kuwa mtesi wako automatic ni mchawi tuEmbu hizi sifa ziwafikie watesi wangu ☺☺
Mi napenda animation movies embu nitajie nzuri nzuri unazozijua nishushe105% 😊
Basi hii naitengenezea frame 😃😀😀 mtu anae amuwa kuwa mtesi wako automatic ni mchawi tu
😀😀😀 Muandiko wako unasema , picha zako zinaongea ... hapa nilipo naisikia sauti ya unyenyekevu iliyobeba nguvu ya kugeuza moyo ikitoka kinywani mwakoHapo kwenye bold umepiga ramli??😳😳😳
Ebhanaee leo sifa atazioga sifa yake nyingine hapa ni picha😀😀😀😀 stress mbaya mkuu, na hasa mtu anaposhindwa kuzi handle.. ila huyu mrembo Lizzy anafaa kuwa msaikolojia anaonekana mtulivu sana katika akili sio mkurupukaji, anasikiliza kabla hajasema, so hata ukiwa na jambo zito mcheki 😀😀😀😀 anaweza kukusaidia kuli manage vizuri ☕️
😀😀😀😀 ukitaka frame nitume nikuletee kabisa ambayo utakaa nayo miaka mia hadi wajukuu na vituu wataikutaBasi hii naitengenezea frame 😃
Yeyote atakaekuwa na swali ntamuelekeza kwako 🤓🤓
Wenye vipaji vyenuMuandiko wako unasema , picha zako zinaongea ... hapa nilipo naisikia sauti ya unyenyekevu iliyobeba nguvu ya kugeuza moyo ikitoka kinywani mwako

Alafu ni mtaalamu kwenye maswala ya picture, picha zake unaweza ziuza kwenye site baadhi baadhi.. picha zake zina utulivu na anajua location ya picha ukiona lazima macho yakamatwe kama vile mtaalamu wa UI ( user interface ) vile 😀😀Ebhanaee leo sifa atazioga sifa yake nyingine hapa ni picha
anapiga realtime pics 😃
Mwenyewe sijaangalia animation sana siku za karibuni.Mi napenda animation movies embu nitajie nzuri nzuri unazozijua nishushe
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😀😀😀 Muandiko wako unasema , picha zako zinaongea ... hapa nilipo naisikia sauti ya unyenyekevu iliyobeba nguvu ya kugeuza moyo ikitoka kinywani mwako
Mi napenda animation movies embu nitajie nzuri nzuri unazozijua nishushe
Mie huwa napenda za Kijasusi , hasa zinazi jumuisha sana matumizi ya ICT- Cyber War and Security na zina deal sana Technology .. na zile za kutumia akili nyingi hapo unitoi 😎Mwenyewe sijaangalia animation sana siku za karibuni.
Kung Fu Panda Dragon Knight (series) & The Bad Guys (feat) umeona???View attachment 2323204
Kungfu/the bad sijachek ngoja nikazichungulieMwenyewe sijaangalia animation sana siku za karibuni.
Kung Fu Panda Dragon Knight (series) & The Bad Guys (feat) umeona???View attachment 2323204