Pambana tu kwa Amani ya bwana mie sikuweziiiiiπππππππππππππππΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈ
Ila hata huyo Lizzy unaendana naye boss Sema anakupendaga hata mwenyewe nahisi mwezi huu hauishi mambo yatakua Sawa Mjep na Lizzy forever nawaona Mbali sana kwenye mahusiano yenu mbarikiwe sana
Wacha tufanye mpango tumtunuku Doctorate degree (PhD) ya heshima Bwana P-Funk Majani kutokana na kazi kubwa aliyoifanya kwenye huu mziki wa vijana, Bongo Flavour. Hadi sisi Wazee tunafurahia "vionjo" vyake Kwa kweli π
Ubunifu wa beat kwenye hii nyimbo ni wa hali Juu, ingawa na mashairi yaliyotumika pia yanahamasisha/kukumbusha umuhimu wa Vijana wa Kiume kujitafutia maisha bila kuchoka πͺπͺ