Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Usiwaze kabisa mr Vocha wanijua sinaga mbambamba mieee in cocas voiceUselfike boss lady
Nami niliwamiss sana selfika
Usiwaze kabisa mr Vocha wanijua sinaga mbambamba mieee in cocas voiceUselfike boss lady
Nami niliwamiss sana selfika
Itakua haijachukuliwa hiyo jaribu maana naona watu wako busyBarikiwa sana kutubariki mr Vocha!!
Mungu akuzidishie mnoooo mnooo Bosi wetuu!!🙏
Na alieipata pia abarikiwe sana
Jamaniiiii tatizo sina tigoo.. ingekua voda au Airtel mie na HG wangu tungepita nayo fastaaa..ila kwa muda uloiweka itakua washapita nayo mapema kuna pipoz zipo kimya kimya humu mr VochaItakua haijachukuliwa hiyo jaribu maana naona watu wako busy


Huo mstari kuna siku utakukataAntonnia
Wahi hapa
Na mm sjakuona siku mingi mkemia em nisaidieAsaaannnteeeeeeehhhhhheeeeeehh 💃💃💃💃 Hakii kukuona tu nimenenepa ghaflaaaa💃🤸🤸🤸🤸🤸 Wabheja sana mr vocha 😘😘✌️✌️✌️
We are not permanent broHuo mstari kuna siku utakukata
Crop sana fazaaWe are not permanent bro
Tutakatika tu siku moja😅😅😅
Nitashusha kitu live bila chenga ile mida yetu mkuuCrop sana fazaa
Umeona eeehhh!! Natupia soon mjumbe wangu relaxx ✌️✌️Crop sana fazaa
Nzuri hio idumuNitashusha kitu live bila chenga ile mida yetu mkuu
hahahhahahahha Basi sauwaaaa mr Vocha sie ninani hata tukupingeee!! Santo sanaaNitashusha kitu live bila chenga ile mida yetu mkuu