Selfika na JF: Snap it. Show it

Unataka uunganishe dots..
Mimi naingia mara chache lakini am sure ana siku kuanzia tano or more haonekani. Maana akiwepo, ukifungua tu selfika, kwenye ile page yenye comments 10, yake haikosekani, or the next
Umenikomesha bana 🤣🤣 kiranga komooo… hata picha nashindwa kupata
 
T hapana, hawezi kuwa, hapa nisingekuwepo mie, huu mzigo ungeangukia kwangu, tena ningesaurwaaa kuparamia watu,


Bora upo, umepunguza kuhusishwa, hata hivyo wewe maparamio yako yanavutia. Huyo alikuja ovyo sana.
 
Nyinyi wamama mtanigeuka hapa nibaki pekeanguu
Halafu ntashindwa kujitetea maana ntaonekana nashindana na wanawake
Hahaha basi emu njoo chemba 🙈

Ila sitokugeuka, labda nitakwambia tu uache avibe mwenyewe akichoka atanyamaza 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…