
Ayayayaya...kisuli sulii weeee
Unajua ilianza atoto, nikabadili to espy then nikarudia atoto tena. Sijawahi kuona mabadiliko ujue![]()
Mama nsipitwe![]()
Yeah niliona ulianza atoto then ukaja espy lakini kuna uzi mmoja hivi wakati unajiita espy kuna kitu uliongea nikajuaga wewe ni mpole ila kumbe nilivyozidi kusoma zaidi nikaona mmhh hamna mpole hapa





Ana matatizo sio bure.Sijui ako na shida gani huyu![]()


Si unaona comments anazojibu?Ana matatizo sio bure.
Yaani atakesha stendi Leo![]()



Ifute.Si unaona comments anazojibu?
Za mwaka juzi!!!![]()

Ngoja niifute.Ifute.
Nataka nicheke mm![]()
Kumbe unalijua kabila lake??
Khaaaah!!Leo analikana
Maana hajui kufwata maagizo ya madame.Ngoja niifute.

Naliona mashalaah

Inawekwa sasahivi.
SI walichagua mbunge anayelala tu bungeni...
Watu wa ileje aliyewaroga alishakufa.
Kule boda ile barabara inatokea undali kwenyewe Sasa.
Kuna ileje ya ulambya na ileje ya undali.
Japo zote nimewahi ishi kwa muda.