Karma kwa mara ya mwisho na unitue[emoji57][emoji57]View attachment 1255818
Ayayayaya...kisuli sulii weeeeKarma kwa mara ya mwisho na unitue[emoji57][emoji57]View attachment 1255818
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unajua ilianza atoto, nikabadili to espy then nikarudia atoto tena. Sijawahi kuona mabadiliko ujue[emoji134][emoji134]
Shindwaaaaaaa. Hamna mnyaki mkorofi bana teh
Sijui ako na shida gani huyu[emoji134][emoji134][emoji134]Itampita Tena
Macho yangu mm[emoji1787][emoji1787]
Mama nsipitwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yeah niliona ulianza atoto then ukaja espy lakini kuna uzi mmoja hivi wakati unajiita espy kuna kitu uliongea nikajuaga wewe ni mpole ila kumbe nilivyozidi kusoma zaidi nikaona mmhh hamna mpole hapa
Ana matatizo sio bure.Sijui ako na shida gani huyu[emoji134][emoji134][emoji134]
Si unaona comments anazojibu?Ana matatizo sio bure.
Yaani atakesha stendi Leo[emoji23][emoji23]
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Kama nakuona na bichwa lako kama sabuni[emoji57]
Ifute.Si unaona comments anazojibu?
Za mwaka juzi!!![emoji134][emoji134][emoji134]
Ngoja niifute.Ifute.
Nataka nicheke mm[emoji1787]
Kumbe unalijua kabila lake??
Khaaaah!!Leo analikana
Mnaanza kubaguana eeh?
Maana hajui kufwata maagizo ya madame.Ngoja niifute.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanyaki nawajua mimi ni wakorofiiii. Na ndio wanaongoza kupiga waume zao.
Cc Heaven Sent
[emoji8]Naliona mashalaah
Inawekwa sasahivi.
SI walichagua mbunge anayelala tu bungeni...
Watu wa ileje aliyewaroga alishakufa[emoji1787][emoji1787].
Kule boda ile barabara inatokea undali kwenyewe Sasa.
Kuna ileje ya ulambya na ileje ya undali.
Japo zote nimewahi ishi kwa muda.