Selfika na JF: Snap it. Show it

Mkuu nakwambia afya ni muhimu sana kuliko ndoa yenyewe..... Me nmeishi hospital kumuuguza aunt yangu hii ni week ya tatu... Nmejua afya ni muhimu sana kuliko chochote kile
Ehh bwana yesu kristo ushiriki ubinadamu wetu kwa hiari yako upate kumponya mgonjwa na kumuokoa, umjalie afya ya mwili na roho mfariji kwa Kinga yako mpe nafuu kwa nguvu yako
Msaidie atumaini kuokoka kwa njia ya mateso kama ulivyotufundisha kutumaini hapo ulipoteswa kwa ajili yako


Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
Antonnia

Shougaaaaaaa angu, uko wapiiiiii?
Baadae uwe online, tsup nna jambo langu nataka niwafurahishee fans wangu.

, nasubir mda wa ilee wazazi wamelala.
Nafanyaa mambo yanguuu.
Nipo hapa shoganguuuuu!!!
Halafu mbona sikuhizi tsup sikupati kwaile namba hebu nipe unayotumia saivi banaa nataka kupasuka mbavu mie ntumie shoss namba ya tsup kuleee!!
Nipo hapa Sitoki shossss
Miss you hadi naumwaaaaa!!😘😘😘😘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…