Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
AkiyananiNi mimi dear
Nakuwaga hivi sometimes naona leo mood imejaa tele .







Shoga shusha mashairi na Mimi nikayapaste huko
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
AkiyananiNi mimi dear
Nakuwaga hivi sometimes naona leo mood imejaa tele .







Mweh nimesahau
Haya pitia dukan basi boss lady wa pekee mwenye Nissan murano uniblessMweh nimesahau
Na nishamuacha duh
Nipo zangu kwa daladala sasa

Niambie wataka niniAkiyanani
Shoga shusha mashairi na Mimi nikayapaste huko
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hahaha nipo kwa daladala hadi nifike usiku sana huko kijijini kwetu , kama saa nne hiviHaya pitia dukan basi boss lady wa pekee mwenye Nissan murano unibless
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Nimepigwa na kitu kizito kichwaniHahaha nipo kwa daladala hadi nifike usiku sana huko kijijini kwetu , kama saa nne hivi

Sawa usiwaze boss lady Haya basi sa kama utaki..... Sa hv sie hatulazimishiMwanamke una bodaboda sita toka pepooooo ushindweeeeee
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Nisamehe nduguNimepigwa na kitu kizito kichwaniSawa usiwaze boss lady
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Mtalazimisha tu kwan mtajioaHaya basi sa kama utaki..... Sa hv sie hatulazimishi
Kuolewa sio muhimu uhai, afya njema, ni muhimu sana
Kapigwa kwenye mshono
Sijambo dogo langu
Acha kukufuru tubu binti mwanamke kuolewa muhimu kwa mwanamkeKuolewa sio muhimu uhai, afya njema, ni muhimu sana




NaamI'm literally laughing rn
The smile on my face.
Is cause you love me.
Everything I do is baby cause you trust me.
Na muumba hakosei kukuleta kwangu mimi.
Wacha nikupe upendo safi, na chochote utakacho kwangu free.
Huo mchanganyiko ni balaa.... Sina ham nao.... Jumapili iliyopita hangover siku tatu......Mjukuu kazi za Shamba zimenibana kiasi, ngoja nimalizie kuvuna soon nitarudi hewani mkininunulia Miwani ya macho
Miss you more Mjukuu![]()

Mkuu nakwambia afya ni muhimu sana kuliko ndoa yenyewe..... Me nmeishi hospital kumuuguza aunt yangu hii ni week ya tatu... Nmejua afya ni muhimu sana kuliko chochote kileAcha kukufuru tubu binti mwanamke kuolewa muhimu kwa mwanamke
Mwanamke usipoolewa unatengeeneza laana katika ukoo
Mwaka huu hauishi nakuoa
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app