Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,481
- 203,149
KwendraaaNialike basi jioni nije 😁😁
KwendraaaNialike basi jioni nije 😁😁
Good for you
asante, nitagawiwa na babe wangunikugaie 😁😁
😏😏😏😏Kwendraaa
😄😄😄😄asante, nitagawiwa na babe wangu
Nipo madam fanya mamboMjep mr Vocha upoooo????? Kuja nikubless Boss wetu selfika sie!
Hairiplaiki pale pale 😂Boss kama Boss
Kafuta tayariHairiplaiki pale pale 😂
Lol ushatoka?? Nilitingwaaa!!Nipo madam fanya mambo
Yaan hawapendani balaa, ila Nandy ndo Tabia yake, wakati ule alimtuma Giggy amchafue Vanessa. Na kweli akamchafua wee, baada ya wao kukwaruzana giggy akalimwaga nje. Kuwa alitumwa na NandyHapana chezea mimba aisee
Kisa alimkanyaga shela lake .. anavyolalamika sasa nilikanyagwa sana ndo maana ikabidi nimuangalie hivyo .
Yeah nimesikia kuhusu hiyo voice note aisee wasanii hawa balaa ..chuki kwenda mbele
Watu hawapendani
Hahahhahahahha.... Usiwaze Uko fureeesssshhh shoss!!!






wee naogopaaa.Kha kumbe Hadi vannesa jamani huyo dada ... Ana roho hiyo kumbeYaan hawapendani balaa, ila Nandy ndo Tabia yake, wakati ule alimtuma Giggy amchafue Vanessa. Na kweli akamchafua wee, baada ya wao kukwaruzana giggy akalimwaga nje. Kuwa alitumwa na Nandy
Toka paleeeee Nandy simpendiiiii.
Nandy ndo tabia yake, wala sijashangaa mie.Kha kumbe Hadi vannesa jamani huyo dada ... Ana roho hiyo kumbe
Nampenda Vee ana vibe si mchezo
Wasanii hawa kila siku bifu tu .
Duh nomaNandy ndo tabia yake, wala sijashangaa mie.