Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Miss you sana msukuma!!
Umekua kimya sana sikuhizi jamani!!
I hope everything is well with you!!
Niko poa Bosi Ledi...

Ni kama wewe tu. Kuna Misri fulani hivi ilibidi niikimbie. Niko kwenye ki-Canaan fulani hivi na kusema kweli kuna amani na furaha huku kwenye nchi ya ahadi...

Tumshukuru Mungu kwa yote Bosi Ledi
 
458E33AB-03E6-4C9F-A428-5290F38C10BD.png
 
Niko poa Bosi Ledi...

Ni kama wewe tu. Kuna Misri fulani hivi ilibidi niikimbie. Niko kwenye ki-Canaan fulani hivi na kusema kweli kuna amani na furaha huku kwenye nchi ya ahadi...

Tumshukuru Mungu kwa yote Bosi Ledi
Weeeeehh kumbe!! Bora kama una Amani na uko Salama msukuma !! Karibu sana!
Kuna wakati inabidi kuuvua umisri tu mkuu hakuna namna!!!
 
Ndio msukuma Nipo sana tu ...vipi unataka unibless msukuma???
Haya weka mambo nasubiria hapa
Hapana. Nina kashida kengine tu...

Haka hapa chini...

Kwa heshima kabisa, unaweza kunifungulia PM japo kwa dakika moja hivi? Kuna kaishu fulani hivi ka kawaida pengine waweza nisaidia. Kama hutojali lakini Bosi Ledi

Nitakubless usiku ile mida yetu ile japo siku hizi unalala mapema sana
 
Hapana. Nina kashida kengine tu...

Haka hapa chini...

Kwa heshima kabisa, unaweza kunifungulia PM japo kwa dakika moja hivi? Kuna kaishu fulani hivi ka kawaida pengine waweza nisaidia. Kama hutojali lakini Bosi Ledi

Nitakubless usiku ile mida yetu ile japo siku hizi unalala mapema sana
Usiwaze kabisa msukuma karibu sana pitiliza utanikuta ndani🤣🤣😂😂😂!!
 
Back
Top Bottom