Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Post M-alone
930EB0F2-C1D1-443C-A441-362A1D03E3CD.jpeg
 
Oyaa ehhh umetekwa sana na huyo manzi au huyo manzi wa chumbagni maana kule ni balaa

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Yeye ni roho yangu , kama ujuavyo mtu hawezi kuishi pasipo roho.. Nuzulati ni tafsiri ya maisha yangu, yeye ni maisha yangu, anafanya maisha yangu kuwa na maana 😁😁
 
Aiseee embu muite Kwanza nimsalimie shemeji

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Nuzulati ni mwanamke mwenye juhudi na mchapa kazi, ni mwanamke wa mithali.... sasa hibvi yupo kazini .. Mungu anamsimaia sana😁😁

Soma chini hapi.. hii ndio picha ya Nuzulati

10 Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani.

11 Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato.

12 Humtendea mema wala si mabaya, Siku zote za maisha yake.

13 Hutafuta sufu na kitani; Hufanya kazi yake ya mikono kwa moyo.

14 Afanana na merikebu za biashara; Huleta chakula chake kutoka mbali.

15 Tena huamka, kabla haujaisha usiku; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao.
 
Nuzulati ni mwanamke mwenye juhudi na mchapa kazi, ni mwanamke wa mithali.... sasa hibvi yupo kazini .. Mungu anamsimaia sana

Soma chini hapi.. hii ndio picha ya Nuzulati

10 Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani.

11 Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato.

12 Humtendea mema wala si mabaya, Siku zote za maisha yake.

13 Hutafuta sufu na kitani; Hufanya kazi yake ya mikono kwa moyo.

14 Afanana na merikebu za biashara; Huleta chakula chake kutoka mbali.

15 Tena huamka, kabla haujaisha usiku; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao.
Kweli unampenda mke wako siyo kwa kumsifia huko hakika umepta mke na siyo mwanamke

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
Kweli unampenda mke wako siyo kwa kumsifia huko hakika umepta mke na siyo mwanamke

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Hakika Nuzulati ni zaidi ya mke, ni zaidi ya mama, ni zaidi ya mwanamke. Baraka ya Mungu, hofu ya Mungu ni sehemu ya maisha yake. Moyo wake umemuelekea Mungu, na mie nimepewa yeye kuwa zawadi 😁😁
 
Back
Top Bottom