Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Karibu lunch kwetu aisee

Yani nimesikia shoga nimemuonea huruma ila anastahili hiyo adhabu .

Ana mdomo huyo mbaba labda atajifunza jambo baada ya hapo .
Niliamka siko sawaa, baada ya hii newz, najikuta nipo oukkay!!!

Yaan furaha imekuja ya ajabu, nenda jukwaaa la soka hadi baadhi ya mashabiki wa Utopolo wanafurahi.

Bumbuli na Nugaz leo watakua na parties, sio kwa furaha hii waliyopewaaah.


Weraaaaaaaaaaaaah.
 
E269630E-3975-4E3C-9C3F-1EA2239BFCB3.jpeg

B3BE807E-368E-4D88-A407-7FAF4E05E1ED.jpeg
 
Niliamka siko sawaa, baada ya hii newz, najikuta nipo oukkay!!!

Yaan furaha imekuja ya ajabu, nenda jukwaaa la soka hadi baadhi ya mashabiki wa Utopolo wanafurahi.

Bumbuli na Nugaz leo watakua na parties, sio kwa furaha hii waliyopewaaah.


Weraaaaaaaaaaaaah.

Hahaha hakika bora apumzike kidogo bwana yule
I'm glad you're feeling better now

Ngoja niende nikaongeze siku mie
Watafurahi sana alijikuta sana bwana haji
 
Back
Top Bottom