Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahah wale jamaa noma
Wanakushawishi utanunua tu mwenyewe

Mimi huwa navionja sana hapo huku nikisubiri dala dala naonja hata kwa watatu baada ya hapo ndo nanunua [emoji23]
Ngoja na mm niwe nafanya biashara ya popcorn niwe nakuonjesha [emoji41][emoji41][emoji41]

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
Utopoloooooo mpoooooooo????

Km namuona mashavu mbonyeo leo atakua na amani. Maana huyu kidampaaa khaaah ni kichefu chefu.

Tinsley dear lunch wapiiii???? Nna furaha isiyo elezeka.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2298548
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo napika makande nakunywa bia mpka nichanganyikiwe

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
Karibu lunch kwetu aisee

Yani nimesikia shoga nimemuonea huruma ila anastahili hiyo adhabu .

Ana mdomo huyo mbaba labda atajifunza jambo baada ya hapo .
Niliamka siko sawaa, baada ya hii newz, najikuta nipo oukkay!!!

Yaan furaha imekuja ya ajabu, nenda jukwaaa la soka hadi baadhi ya mashabiki wa Utopolo wanafurahi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Bumbuli na Nugaz leo watakua na parties, sio kwa furaha hii waliyopewaaah.


Weraaaaaaaaaaaaah.
 
Utopoloooooo mpoooooooo????

Km namuona mashavu mbonyeo leo atakua na amani. Maana huyu kidampaaa khaaah ni kichefu chefu.

Tinsley dear lunch wapiiii???? Nna furaha isiyo elezeka.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2298548
Hiyo inabatilishwa soon.. 😎
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo napika makande nakunywa bia mpka nichanganyikiwe

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Kabisaaaaaah, leo ni burudaniiii ktl tasnia ya Soka.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
E269630E-3975-4E3C-9C3F-1EA2239BFCB3.jpeg

B3BE807E-368E-4D88-A407-7FAF4E05E1ED.jpeg
 
Niliamka siko sawaa, baada ya hii newz, najikuta nipo oukkay!!!

Yaan furaha imekuja ya ajabu, nenda jukwaaa la soka hadi baadhi ya mashabiki wa Utopolo wanafurahi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Bumbuli na Nugaz leo watakua na parties, sio kwa furaha hii waliyopewaaah.


Weraaaaaaaaaaaaah.

Hahaha hakika bora apumzike kidogo bwana yule
I'm glad you're feeling better now

Ngoja niende nikaongeze siku mie [emoji23][emoji23]
Watafurahi sana alijikuta sana bwana haji
 
Back
Top Bottom