Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Poa tajir wangu ujamboHahaha tumeamka vyema vipi wewe Boss .
Tupo salama kabisa,tunazidi chochea vitambi vyetu.
Tupo salama kabisa,tunazidi chochea vitambi vyetu.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app













ww mwili huo portable Uwe na kitambi kweli Jua kali 🤣🤣 yan ni jua tu linawaka na baridi inapigaJua la aina gani em fafanua didi ake😁
Maana najua huko hali ya hewa baridi, kama jua la kwenye pochi ma😷 si yupo
salama mkuu ndo tunavimwagilia sasa hivi🥰🥰
Yuko wapi??? Sijamuonaa mamdooo!!Umemuona Junia?
Boss hata ww una kitambisalama mkuu ndo tunavimwagilia sasa hivi![]()
Hahahaa kumbe jua hiloJua kali 🤣🤣 yan ni jua tu linawaka na baridi inapiga
Nina utajiri gani ?
Ahhh haya bana mm mzma tuNina utajiri gani ?
Kapuku wa mwisho mie
Nipo poa na wewe
Ooh vyema rafiki
😅😅😅😅 watazoea tu
Unaiita rafiki unataka uninyime nn ww bintiOoh vyema rafiki
eeh mkuu tena mtwepeto 😅😅😅😅😅😅
Sikunyimi kitu
Khaaa embu tupia kapicha nione maana sshv wanawake wenye vitambi ndyo ugonjwa wangueeh mkuu tena mtwepeto![]()