cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,367
- 188,068
Basis ndo hivyooooo.Aaah sawa nilikuwa nimesahau
Basis ndo hivyooooo.Aaah sawa nilikuwa nimesahau
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] twende ulayaa.Baadae sana huko
Course yenyewe hadi wakuregister ni kasheshe
Location tu inachosha
Yaah pesa zipo kwa sasaUna bela sana, afu kipindi cha uchaguzi sasa? Wee au km hivi wakati wa zoezi la sensa. Pesa nje nje.
Hapo ndo waga wanafeli mlolongo mrefu utazani wanakulipia ada wenyeweBaadae sana huko
Course yenyewe hadi wakuregister ni kasheshe
Location tu inachosha
Aunt mzimaDuuuh itabidi uende tena pale pale.
Haha huko pakoje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] twende ulayaa.
Shida sana Tanzania hiiHapo ndo waga wanafeli mlolongo mrefu utazani wanakulipia ada wenyewe
Sio chuo cha katiTaasisi za Elimu ya Juu.
Ushashiba uporo wa cake 😂Kuna maisha baada ya birthday
Kawaida ya wabongo mbwembwe nyingiShida sana Tanzania hii
Yaani nasikia wanafanya interview pia
Sema hii course imefadhiliwa na University of California .. ndo maana mbwembwe nyingi
Tumeona shepu ya kivuli mamaaaa shepu unalo dyadya!!
Haha shida sanaKawaida ya wabongo mbwembwe nyingi
Ukishiba uporo wa cake na ukichek salio,linasoma hivi[emoji23][emoji23][emoji23]Ushashiba uporo wa cake [emoji23]
🤣🤣🤣 kesho zitakuja nyingine…Ukishiba uporo wa cake na ukichek salio,linasoma hivi[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2297645
Ada m ngapiHaha shida sana
Sisi watanzania ndo tulivyo
Ila wanasoma vizuri hao
Classes zao zina vitabu ndani ..
🤣🤣 hapo ni gauni imetuna tuTumeona shepu ya kivuli mamaaaa shepu unalo dyadya!!
Kumbe unatuzevezaga tu hakuna hata tangawizi hapo!!
una vidole vizuri na kucha nzuriii!!
Na zifike tu[emoji23][emoji23][emoji23].[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kesho zitakuja nyingine…
Afu umetoka kutoa kama 70K hivi
Wee muongoooo! Uko mzuri kuanzia utosini hadi unyayoni dyadya sallliiiuuuteeeee!!🤣🤣 hapo ni gauni imetuna tu
Tangawizi iko, angalia vizuri