Mchagga mixer mpare, hiyo combo ni fire aseeUkabila sio poa wala nn sema kuna vingine mhh
Mie ED wangu ni mchaga na mixer ya mpare, heheheee aweee
Ninyamazie hapo.
Pia hapa chaggas wapo
Yaan nishaambukizika mie

Mjep maana ake Nini?Ni rahisi tu unachukua simu unawasha camera unaielekeza upande zilipo lips za dhabu utapiga selfie kali chap alaf unaupload for 2 mnts unadelate![]()



Hehe jamani tushaije hapa sasaNimeacha kuanzia leo bibi yenu amenichimba mkwara![]()
Hio sio combo ni kombora!Mchagga mixer mpare, hiyo combo ni fire asee![]()
mwambie aache wenge,, sisi hatujaku
Weka vocha, potea nenda kwa bibi



Self service kaka!
Hihihihi!! kwani Nasema uongo bromand???Hahah, we mkorofi sana..
Ndio dada!! Inaitwa self service!!!Mayoooo 🙈🙈
Well saidself services za nini na hii baridi?? Hazifai
Daka kibus chap nenda alipo
Kakamuliwe mkamuo utakaokufanya u survive week bila shida





kwenda zako huko, Ndege hujawahi panda sasa huko Tokyo ulienda na nn? Kimbinyiko express? Mkamuo wa wiki nzima, hahah nawe ndio walewale kumbe. Si mnawasema vijana wala chips, huo mkamuo wa wiki wanauweza wapi..😁😁 self services za nini na hii baridi?? Hazifai
Daka kibus chap nenda alipo
Kakamuliwe mkamuo utakaokufanya u survive week bila shida
When?? Where?? Why??Who?? Whom? Which?? ...
Naongelea huyo dada wa kwenda washroom mara kwa mara after mastory ya kunywgeshana!😁😁 self services za nini na hii baridi?? Hazifai
Daka kibus chap nenda alipo
Kakamuliwe mkamuo utakaokufanya u survive week bila shida
Ukisikia mambo hayapo sawa piga simu au sms kwa mhusika akupe code, nenda ukachezee hadi kiu ikate.Hihihihi!! kwani Nasema uongo bromand???
Hebu mwambie aache mambo yake kaka tutakimbilia wapi sisi ??!!Nimeacha kuanzia leo bibi yenu amenichimba mkwara😩